Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Aliyekwambia nani tangu Lini iphone akashindana na Google pixel when it comes about photoshooting [emoji91]Bro nazipenda google pixel nimetumia mpaka 7pro sema kwa iphone 15 na 14 zote haisogei kwa ubora na hata S22 na S 23 inakaa mbali sana
Mkuu unamaanisha au umeamua kutania!Camera ipo kwenye tecno bana
🤣🤣🤣Heee watu mshashika Iphone 15 clean used from Dubai 😃
I think itakua my next phoneEven Google Pixel ukijua kuitumiq vzr ina settings kali zaidi. Or ukainstall application kwa ajir ya Photo processing.
Huu ndo ukweli watumia iphone hawawezi kukuelewa,camera yake inahitaji na inategemea mwanga mzuri Ili itoe picha nzuri zaidiNlikuwa natumia Google pixel 3, nikachukua iphone 14 pro max aloo , camera ya Google pixel bado ni balaa, Iphone camera yake inahitaji sana mwanga ili itoe picha nzuri ila google pixel ni hapo hapo sehem yoyote kambi iphone alichomzidi pixel ni camera yake tu kuwa na editing za kisasa ambazo unaweza edit picha hata kama mbaya ikatokea vizuri
Hapo ni Mwanza au
Wataona unazingua lakin ndo ukweli [emoji23]Camera ipo kwenye tecno bana
Yes 😁 umejuaje?Hapo ni Mwanza au
Yap , umesema kweli...Ligi ya kujilinganisha simu na iPhone sijui itaisha lini?
Sio Samsung, Tecno, Bb, Tesla, Nothing phone, Oppo, Huawei n.k. wote hao hakuna wa kujilinganisha na android mwenzake ni iPhone tu.
Hizi kampuni naamini wateja ndo wana ligi ila zenyewe nikupambana kimya kimya tu mali yake iwe bora na kuuzika zaidi ila sio ijitetee kuwa mali yake ni nzuri kuliko mali ya mwingine
Kila simu ina mazuri yake na mapungufu yake hakuna iliyokamika kwa % zote na haitotokea tukubaliane tu kama binadam aso hili ana lile, na kwenye simu mwendo ni huo huo tu.
Na matumizi nayo yametofautiana photographer hapo atakuelewa ila ukija kwa bora mawasiliano hana habari na picha nzuri!
Hata zile za zamani camera zake nzuri.Camera ipo kwenye tecno bana
Pixel ngapi hii?