Nimethibitisha Leo Google Pixel ina camera nzuri kuliko iPhone

Nimethibitisha Leo Google Pixel ina camera nzuri kuliko iPhone

Nlikuwa natumia Google pixel 3, nikachukua iphone 14 pro max aloo , camera ya Google pixel bado ni balaa, Iphone camera yake inahitaji sana mwanga ili itoe picha nzuri ila google pixel ni hapo hapo sehem yoyote kambi iphone alichomzidi pixel ni camera yake tu kuwa na editing za kisasa ambazo unaweza edit picha hata kama mbaya ikatokea vizuri
Huu ndo ukweli watumia iphone hawawezi kukuelewa,camera yake inahitaji na inategemea mwanga mzuri Ili itoe picha nzuri zaidi
Kwa mi mpenda picha hainifai!

Next natatafuta hii,nilikariri samsung tu
 
PXL_20231129_144216812.jpg
 
Ligi ya kujilinganisha simu na iPhone sijui itaisha lini?

Sio Samsung, Tecno, Bb, Tesla, Nothing phone, Oppo, Huawei n.k. wote hao hakuna wa kujilinganisha na android mwenzake ni iPhone tu.

Hizi kampuni naamini wateja ndo wana ligi ila zenyewe nikupambana kimya kimya tu mali yake iwe bora na kuuzika zaidi ila sio ijitetee kuwa mali yake ni nzuri kuliko mali ya mwingine

Kila simu ina mazuri yake na mapungufu yake hakuna iliyokamika kwa % zote na haitotokea tukubaliane tu kama binadam aso hili ana lile, na kwenye simu mwendo ni huo huo tu.

Na matumizi nayo yametofautiana photographer hapo atakuelewa ila ukija kwa bora mawasiliano hana habari na picha nzuri!
 
Pixel kwenye picha inajitahidi hii picha sasa haijawa compressed maana ya awali ilkua compressed na Tapatalk
 

Attachments

  • PXL_20231129_144210937.jpg
    PXL_20231129_144210937.jpg
    1.7 MB · Views: 32
Ligi ya kujilinganisha simu na iPhone sijui itaisha lini?

Sio Samsung, Tecno, Bb, Tesla, Nothing phone, Oppo, Huawei n.k. wote hao hakuna wa kujilinganisha na android mwenzake ni iPhone tu.

Hizi kampuni naamini wateja ndo wana ligi ila zenyewe nikupambana kimya kimya tu mali yake iwe bora na kuuzika zaidi ila sio ijitetee kuwa mali yake ni nzuri kuliko mali ya mwingine

Kila simu ina mazuri yake na mapungufu yake hakuna iliyokamika kwa % zote na haitotokea tukubaliane tu kama binadam aso hili ana lile, na kwenye simu mwendo ni huo huo tu.

Na matumizi nayo yametofautiana photographer hapo atakuelewa ila ukija kwa bora mawasiliano hana habari na picha nzuri!
Yap , umesema kweli...
Ni kweli inategemea na matumizi wakati mwingine, mwingine cm hanaga ht muda na camera,ye ni kupiga,kupokea,kutuma sms😅
Wengine hapa ss ni camera na storage
 
Back
Top Bottom