Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Mkuu kutofautiana mtizamo kusikufanye unione kama naonge nisiyoyajua mm namtetea jama kwawasioamini aliyopitia humndani kuna watu wao michango yao nikufurahisha kijiwe ila mm naongea vitu vyenye mifano hai lengo watu wajifunze tunaona wengi humu imani yao mwanamke akitoka nje ya ndoa hafai tena hii nimepitia vizuri ningum sana mkuu hata ningeiweka hapa kuna watu ambao hawako tayari kujifunza watatoa hoja nyepesi sana mazingira yalivokuwa watu walinicheka nikapima kuishi nawatoto bila mama nikaona ngumu nikaangali mazuri yake namabaya yake ikabidi nikubali kuwa mjinga nikose furaha ili watoto wafurahi kifupi maisha yangu yandoa kwasasa nimazuri nahatua kidogo nimepiga usiniulize kama hawezi kurudia ndoa ina miaka kumi natatu
Mmh aisee
 
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
We mwehu tu. Unangoja akutoe roho ili hadithi yako wasimulie wengine siyo?
 
Hongera sana dogo! Nafikiri wewe utakuwa mshauri mzuri wa mambo ya ndoa. Wanaume wengi tunapitia Mikasa kama Yako lakini tumekuwa waoga kuielezea kwa watu wengine. Ndio maana depression na suicide zimekuwa kitu Cha kawaida kwenye jamii. Story Yako itaniimarisha
 
Hongera sana dogo! Nafikiri wewe utakuwa mshauri mzuri wa mambo ya ndoa. Wanaume wengi tunapitia Mikasa kama Yako lakini tumekuwa waoga kuielezea kwa watu wengine. Ndio maana depression na suicide zimekuwa kitu Cha kawaida kwenye jamii. Story Yako itaniimarisha
Hapo kwenye kumkutana ametanuliwa na njemba hapo hapo heri niendelee na hili life bila mke.
Wake zetu pia wanachepuka na jamii inajua. Pia sisi tunajua. Usifikiri wewe kutokuandika hapa kisa chako kinaondoa uchepukaji was mkeo. La msingi no kusamehe kama jamaa na kuendelea. Lakini msamaha unakuwepo tu pale unapokua lengo kubwa la maisha. Kama mwenza wako ameonyesha kuwa dhaifu unamwonyeshaje kuwa wewe ni dhaifu zaidi?
 
Hongera Sana Mkuu, lazima nikupongeze kwasababu Mimi siwezi kuvaa viatu vyako.
Huyu ni poyoyo, bwege, zumbukuku wa kupitiliza. Si wa kupongezwa hata kidogo.

Mwanamke afanye makosa yote nitavumilia, lakini kugawa ofisi ya ngu, never ever. Nisigundue, nikigundua anatembea tena kwa alama.
 
uliyeandika huu uzi usije ukaleta uzi mwingine humu ndani kuhusu kuvunjika kwa ndoa yako
 
Huyu ni poyoyo, bwege, zumbukuku wa kupitiliza. Si wa kupongezwa hata kidogo.

Mwanamke afanye makosa yote nitavumilia, lakini kugawa ofisi ya ngu, never ever. Nisigundue, nikigundua anatembea tena kwa alama.
Kha!kha!,Mkuu imeandikwa "Iweni na huruma km Baba yenu wa Mbinguni", Sehemu nyingine imeandikwa hivi "Mkiwasamehe waliowakosea, Baba yenu wa Mbinguni naye atawasamehe ninyi makosa yenu,lkn msipowasamehe nanyi hamtasamehewa makosa yenu".Kiufupi anayesamehe aliyemkosea ni Baunsa wa Moyo, Mtaalamu mmoja wa Teolojia aliwahi kusema kuwa "Kukosea ni ubinadamu lakini kusamehe waliotukosea ni Umungu, kwasababu msamaha ni hulka ya MUNGU". Binafsi Ninam admire Sana mtu anayesamehe,ninamuona kuwa ni mtu wa kipekee sana,huyu ni Mtakatifu anayeishi potelea mbali madhaifu mengine.
 
😳😳😳😳hadi kuwekewa sumu daah ndoa hizi
 
Kuoa mapema kwangu kumenipa faida kuu zifuatazo.

1.nimejiepusha na uzinzi kwa asilimia kubwa sisi vijana uzinzi ni nyege tu tunashindwa kujizuia ndio maana adhabu ya mzinzi asiyeoa ni ndogo kuliko mzinzi ambae kaoa.

2.watoto,yaani unakuwa na mwanao,imagine umepata mtoto wa kwanza ukiwa na miaka 20 wewe ukiwa na miaka 40 mwanao yuko form six.

Yaani mtu kama ole sabaya yule awe na mwanae yuko form six,wote vijana mpaka raha.

Sijamaanisha kwamba "mpaka raha" kuwa na baba kama ole sabaya bali nimemaanisha kuwa wanao unawaona wakubwa huku ukiwa na nguvu zako.

Sabaha ni mfano kwa kuwa ni kijana tu.

3.unaepukana na aibu nyingi sana,kuna watu wanafumaniwa kwa sababu ya nyege tu zimewapeleka mbio.

4.nimekuwa mtulivu si wa kurukwa na akili pindipo nikimuona demu mkali,yani una appreciate kwamba yule mkali alafu unaendelea na mambo mengine tu.

5.unafanya mambo yako kwa utulivu na uhuru kama umempata mke mtulivu,kama huna mke mstaarabu ndoa itakuwa uchungu shubiri nk sukari tu katika ndoa hiyo.

6.nimekuza ufahamu na uelewa wangu nimekuwa mwepesi kuelewa na kuwa na fikra chanya.

7.kujitambua kwamba mimi ni mtu mzima nina familia hivyo nakuwa makini kufanya maamuzi ya kipato na vingine kwa maslahi ya familia kinyume na kwenda kuhonga

Faida ni nyingi sana,
Hongera sana
 
@ndenjii handsone.
Hongera jomba, mm mwenyewe nimeoa nina miaka mitatu sasa, nachoweza kusema kwa mwanaume mwenzangu zingatia vitu vitatu:
1. Maamuzi ya Kichwa sio hisia.
2. Kifua chakutunza mambo yako.
3. Msimamo.
 
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
Hongera sana mkuu! Ulichofanya ndio njia pekee ya kumfundisha mjinga asiyethamini mahusiano.
 
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
Kwakweli una uvumilivu kama alionao mwanamke mgumba dhidi ya maneno ya mawifi
 
Back
Top Bottom