Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Ivi mkuu huogopi kifo?? Mtu kakwambia anakuchukia, kakuwekea sumu, upupu bado umo tu daah. Kweli binadamu tumetofautiana sana yani mi nimkute mke analiwa na nimsamee iyo siwezi aisee, nitamdanganya kua nimemsamehe ila sitamuamini kamwe ko bora nimuache tu.
[emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Wewe upo Qatar hujuu yanayotokea huku, hata huwezi kuumia kwasababu huyaoni huyu nduguyo ameshuhudia kabisaa. Aisee huyu jamaa ana roho ngumu idd amin akasome, ivi mkuu ndenjii handsome huwezi kuua mtu kweli wewe??
Kuua MTU siwez ila ninakaroho fulani HV kakutokujal kitu haya yote yametokana na malezi nilia kiufupi nimekulia mazingila ya kijasusi sana yasio jua maumivu nn nikupe mfano mdogo kt ya nilio pitia mlez wangu alimshika mwiz hom akamchoma kisu mbele yangu hapo nina miaka 9 tu na nikaona kawaida ni meng nimepitia yameni athir kwenye makuz yangu ndio maana huwa sijal chcht kinachohusu maumivu
 
Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae,
Nahisi hii ni chai tu kama chai zingine. Tena Inawezekana kabisa mleta mada akawa ni mmoja wa vile "vitoto" vinavyosubiria kuingia form5.
 
Aisee. Umemfuma na njemba ukaishia kulia tu, Pia alikuwekea Sumu na bado unaishi nae!.

Naona kama unatukosea adabu wanaume.
Mwanamke akishakuona una udhaifu kwenye kufanya maamuzi atakufanyia chochote kwakuwa anajua huna cha kumfanya.
Hatuhiji manguvu kuishi nawanawake hii hali amepitia jamaa naijua kisawasawa inataka moyo ila ukivuka hapo maisha burudani
 
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
Huyo mwanamke alikushikia begi ya uhai?
 
Nahisi hii ni chai tu kama chai zingine. Tena Inawezekana kabisa mleta mada akawa ni mmoja wa vile "vitoto" vinavyosubiria kuingia form5.
Dah jombaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji125][emoji125]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Sasa unamdanganya nani
 
Na ningeandika yote mbona ungesema hakuna watu wa aina hiyo labda mars baada ya kuwa [emoji478] ingekuwa collabo ya madrink yote

Cha kushukuru Nina watoto nae watatu na bado mbichi kama mtoto wa kidato na ukituona mm wanangu mbona utasema wadogo zangu
Umehakikisha ni wanao?
 
Kwamba ulifungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini bado kidume ukaona atabadilika na amebadilika kweli,duuuuuh humlii timing ya kumfanyia umafia huko mbeleni kweli mtoto wa watu??

maana sio kwa huruma hiyo aisee!!!
 
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
Kweli umepitia mengi ndugu yangu anyway nashukuru nimecheka
 
Hapo kwenye kumkutana ametanuliwa na njemba hapo hapo heri niendelee na hili life bila mke.
 
Back
Top Bottom