Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
Mungu anisaidie nisije nikawa na moyo mzuri hadi unaudhi kama hivi....
Anyway, mimi nilioa nikiwa na mwaka 37
 
Kumfuma akifanya ngono? Na unae bado? Hii ngumu sana kwangu. Ndio kosa kubwa naweza fanyiwa na mke, afanye juu chini nisijue, nikijua basi
Kwa bahat mbaya mtoto ndie alieanza kula kile chakula nikiwa sina hili dogo tumbo likaanza kuuma nikamchek wife fasta imekuaje hiki chakula mbona mtot anauma tumbo asee wife alipata na mstuko nakuanza nichana nikasema asante mama nikakata sim chap maziwa ya ngomb chap hospital hvy tu umepita mwez nikiwa nimelala usiku nikaota ndoto ya ajabu ile kustuka nakuta wifu kashika kisu yupo pemben angu nikamjibu Fanya unachotaka ulidhike so akajibu nakuchukia sana we mwanaume hivi unakitu gan kinachonixuia mm kutimiza kusud langu nikamjibu ni mungu nikampa banned ya miez sita yaan niliondoka hom ndipo akanitafuta na akatubu mbele ya wazee wa mtaa na wazaz
 
Weka story nzima mkuu nasisis tujifunze kupitia kwako
Hata hapo alipoishia tu panatosha kusema jamaa ni dhaifu sana.
Uvumilivu ni kwaida kwenye mambo ya kawaida sio kuwekewa Sumu.
Kwahiyo anataka tujifunze kuwa wake zetu wakituwekea sumu na tukigundua tuwasamehe. Ukikuta njemba inagegeda mkeo nayo uwe mpole na kuishia kulia tu.

Kupishana mwaka mmoja tu na mkeo ni wazi huyo mwanamke kimuonekano anakuwa mkubwa
 
Hata hapo alipoishia tu panatosha kusema jamaa ni dhaifu sana.
Uvumilivu ni kwaida kwenye mambo ya kawaida sio kuwekewa Sumu.
Kwahiyo anataka tujifunze kuwa wake zetu wakituwekea sumu na tukigundua tuwasamehe. Ukikuta njemba inagegeda mkeo nayo uwe mpole na kuishia kulia tu.

Kupishana mwaka mmoja tu na mkeo ni wazi huyo mwanamke kimuonekano anakuwa mkubwa
Mkubwa kiakili au umbo ?
 
Back
Top Bottom