Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Siwezi kuwa roli modo wako wanja ndoa ikae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wazi jamaa alipenda sehemu isiyompenda.Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
Mungu anisaidie nisije nikawa na moyo mzuri hadi unaudhi kama hivi....Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.
Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.
Asanten
[emoji12][emoji12] hata wewe unaweza jb itapendeza zaidTukuulize wewe hilo swali
Mpangaji mungu29 kwa wanaume wa Tanzania ya sasa ndo kwanza hajabalehe.wewe tayari unatarajia kuitwa grand.Aisee,u are so amazing!
Nakuahidi mkuu nitaiweka japo ni story ndefuWeka story nzima mkuu nasisis tujifunze kupitia kwako
[emoji120][emoji120][emoji120]Hongera, inapendeza...
For sure. Maana upupu ulivyo hadimu kuupata, ila mkewe aliusaka na kuupataNi wazi jamaa alipenda sehemu isiyompenda.
Nashauri akacheki dna ya watoto
Kwa bahat mbaya mtoto ndie alieanza kula kile chakula nikiwa sina hili dogo tumbo likaanza kuuma nikamchek wife fasta imekuaje hiki chakula mbona mtot anauma tumbo asee wife alipata na mstuko nakuanza nichana nikasema asante mama nikakata sim chap maziwa ya ngomb chap hospital hvy tu umepita mwez nikiwa nimelala usiku nikaota ndoto ya ajabu ile kustuka nakuta wifu kashika kisu yupo pemben angu nikamjibu Fanya unachotaka ulidhike so akajibu nakuchukia sana we mwanaume hivi unakitu gan kinachonixuia mm kutimiza kusud langu nikamjibu ni mungu nikampa banned ya miez sita yaan niliondoka hom ndipo akanitafuta na akatubu mbele ya wazee wa mtaa na wazazKumfuma akifanya ngono? Na unae bado? Hii ngumu sana kwangu. Ndio kosa kubwa naweza fanyiwa na mke, afanye juu chini nisijue, nikijua basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji12]H
Hulia kuzimu
Sikushaul mkuuSiwezi kuwa roli modo wako wanja ndoa ikae
Nimejibu hiliNi wazi jamaa alipenda sehemu isiyompenda.
Nashauri akacheki dna ya watoto
Hata hapo alipoishia tu panatosha kusema jamaa ni dhaifu sana.Weka story nzima mkuu nasisis tujifunze kupitia kwako
Nipe njia mbabaKama waitaj bado uwepo wake mbn simpo nikupe njia
Huna akilTena live mkuu na sikumfanya chochote zaid ya mim mwenyewe kutokwa machozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji26][emoji26][emoji24][emoji24][emoji24]Huna akil
[emoji106][emoji106][emoji116]Nipe njia mbaba
Mkubwa kiakili au umbo ?Hata hapo alipoishia tu panatosha kusema jamaa ni dhaifu sana.
Uvumilivu ni kwaida kwenye mambo ya kawaida sio kuwekewa Sumu.
Kwahiyo anataka tujifunze kuwa wake zetu wakituwekea sumu na tukigundua tuwasamehe. Ukikuta njemba inagegeda mkeo nayo uwe mpole na kuishia kulia tu.
Kupishana mwaka mmoja tu na mkeo ni wazi huyo mwanamke kimuonekano anakuwa mkubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji57][emoji57][emoji42]For sure. Maana upupu ulivyo hadimu kuupata, ila mkewe aliusaka na kuupata
Ni Dada yako huyo.Mkubwa kiakili au umbo ?