Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Kwenye maisha sio lazima uaminiwe na kila mtu mkuu,Kama huamini kalibu hom uje kufanya kautalii na kauchunguz gharama zmza kutoka uliipo na vyote zangu ili uje udhibitishe hapa maana hata nikikwambia vipi huezi amin kama upo Tayar njoo pm
Ila kama ni kweli mkuu hongera sana boss wangu umeonyesha uvumilivu wa kiwango cha juu[emoji41]