Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu...wewe umeona hili la upupu ni kubwa kuliko la sumu?
Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mkuu...wewe umeona hili la upupu ni kubwa kuliko la sumu?
Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
Yote ni majanga, ila kitendo cha kwenda vichakani kutafuta upupu na kukuwekea kwenye maji, inataka moyo wa shaba
 
Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
Itakuwa huo Upupu ulifanya kazi si umeona kuwa alimufaniwa akiliwa na Njemba lakini hakumuacha huku hata dini zinatuambia ndio itaachishwa kwa uzinzi wa mwanamke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vikojoleo havinuniani Mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Itakuwa huo Upupu ulifanya kazi si umeona kuwa alimufaniwa akiliwa na Njemba lakini hakumuacha huku hata dini zinatuambia ndio itaachishwa kwa uzinzi wa mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kuna Mambo mawili inawezekana umeolewa au limbwata la kuzimu!!
Lingine yawezekana anatuchota tu. Kuna vitu katika ndoa havivumiliki,hapo kinacho vumilika hicho cha kuwekewa upupu kwenye maji. Ila mengine yanaweza kungia katika uliyo yadhania.
 
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
Ya kwangu miaka 9 inaenda kuvunjika mwezi ujao maana vikao vishaanza🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom