ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
- Thread starter
- #61
Wewe wasemaUmerogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wasemaUmerogwa
Kakuzidi umri?! Samahani lakiniTena live mkuu na sikumfanya chochote zaid ya mim mwenyewe kutokwa machozi
HajaniZid mm29 yeye28Kakuzidi umri?! Samahani lakini
Hii mifumo ni ya mizimu ya kichawi, kiganga mixer majini hakuna kingine.Ni stori ndefu kiufup mkewangu alikuwa akiendeshwa na mifumo fulani kwa lengo fulan hv ambapo nilikuja gundua baadae ndipo nikastuka
Yeye alikuwa na 18
Mkuu...wewe umeona hili la upupu ni kubwa kuliko la sumu?Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
Hayo wasema weweHii mifumo ni ya mizimu ya kichawi, kiganga mixer majini hakuna kingine.
Ndiyo ni mimi nimetype hapoHayo wasema wewe
Nimejibu hilooMkuu...wewe umeona hili la upupu ni kubwa kuliko la sumu?
Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndiyo ni mimi nimetype hapo
Yote ni majanga, ila kitendo cha kwenda vichakani kutafuta upupu na kukuwekea kwenye maji, inataka moyo wa shabaMkuu...wewe umeona hili la upupu ni kubwa kuliko la sumu?
Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
Itakuwa huo Upupu ulifanya kazi si umeona kuwa alimufaniwa akiliwa na Njemba lakini hakumuacha huku hata dini zinatuambia ndio itaachishwa kwa uzinzi wa mwanamke.Yani uliwekewa upupu kwenye maji, ila bado umekaza? [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vikojoleo havinuniani Mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Itakuwa huo Upupu ulifanya kazi si umeona kuwa alimufaniwa akiliwa na Njemba lakini hakumuacha huku hata dini zinatuambia ndio itaachishwa kwa uzinzi wa mwanamke.
Hapa pagumu sana.kumfuma akifanya ngono na njemba,
Pole kwa maswahibu yalio kupataHajaniZid mm29 yeye28
Lingine yawezekana anatuchota tu. Kuna vitu katika ndoa havivumiliki,hapo kinacho vumilika hicho cha kuwekewa upupu kwenye maji. Ila mengine yanaweza kungia katika uliyo yadhania.Kuna Mambo mawili inawezekana umeolewa au limbwata la kuzimu!!
Namaanisha kupima watoto ili ujue kama ni wako. Sio kupima ukimwi. OvaSio kwenda kupima nimepima saiz natembea kifua mbele
Ya kwangu miaka 9 inaenda kuvunjika mwezi ujao maana vikao vishaanza🙄🙄🙄Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.
Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.
Asanten