Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

Kuoa mapema kwangu kumenipa faida kuu zifuatazo.

1.nimejiepusha na uzinzi kwa asilimia kubwa sisi vijana uzinzi ni nyege tu tunashindwa kujizuia ndio maana adhabu ya mzinzi asiyeoa ni ndogo kuliko mzinzi ambae kaoa.

2.watoto,yaani unakuwa na mwanao,imagine umepata mtoto wa kwanza ukiwa na miaka 20 wewe ukiwa na miaka 40 mwanao yuko form six.

Yaani mtu kama ole sabaya yule awe na mwanae yuko form six,wote vijana mpaka raha.

Sijamaanisha kwamba "mpaka raha" kuwa na baba kama ole sabaya bali nimemaanisha kuwa wanao unawaona wakubwa huku ukiwa na nguvu zako.

Sabaha ni mfano kwa kuwa ni kijana tu.

3.unaepukana na aibu nyingi sana,kuna watu wanafumaniwa kwa sababu ya nyege tu zimewapeleka mbio.

4.nimekuwa mtulivu si wa kurukwa na akili pindipo nikimuona demu mkali,yani una appreciate kwamba yule mkali alafu unaendelea na mambo mengine tu.

5.unafanya mambo yako kwa utulivu na uhuru kama umempata mke mtulivu,kama huna mke mstaarabu ndoa itakuwa uchungu shubiri nk sukari tu katika ndoa hiyo.

6.nimekuza ufahamu na uelewa wangu nimekuwa mwepesi kuelewa na kuwa na fikra chanya.

7.kujitambua kwamba mimi ni mtu mzima nina familia hivyo nakuwa makini kufanya maamuzi ya kipato na vingine kwa maslahi ya familia kinyume na kwenda kuhonga

Faida ni nyingi sana,
Sahihi kabisa
 
sawa kaka ushachukua attention yetu ,naweka kambi hapaa[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
Unaonaje ungetulia mpaka utakapoona uko fresh ku type ukaleta habari kamili, kuna meng ya kujifunza hapa
 
Aisee. Umemfuma na njemba ukaishia kulia tu, Pia alikuwekea Sumu na bado unaishi nae!.

Naona kama unatukosea adabu wanaume.
Mwanamke akishakuona una udhaifu kwenye kufanya maamuzi atakufanyia chochote kwakuwa anajua huna cha kumfanya.
 
Aisee. Umemfuma na njemba, Pia alikuwekea Sumu na bado unaishi nae!.

Naona kama unawakosea adabu wanaume.
Mwanamke akishakuona una udhaifu kwenye kufanya maamuzi atakufanyia chochote kwakuwa anajua huna cha kumfanya.
Hakika mlamba sukari hachoki, atalamba tena mzee
 
😩😩😩😩😩😩
Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,

Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.

Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.

Asanten
 
Kudumisha ndoa kwa miaka 10 na hasa kwa umri mdogo kama wako ni jambo la kupongeza sana.

Hongera sana sana.
Changamoto ulizopitia ni nyingi nadhani kuliko ulizoandika hapa.
Kila la kheri mkuu[emoji120][emoji120]
 
Aisee. Umemfuma na njemba ukaishia kulia tu, Pia alikuwekea Sumu na bado unaishi nae!.

Naona kama unatukosea adabu wanaume.
Mwanamke akishakuona una udhaifu kwenye kufanya maamuzi atakufanyia chochote kwakuwa anajua huna cha kumfanya.
Haki yako kusema hvy maana hata yeye mwisho wa siku akasema unamoyo wa aina gani yaan utakuja jua kwann nilivumilia haya story yaja hili ni tela tu
 
Back
Top Bottom