ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
- Thread starter
- #41
Story yaja utapata majibu ykHakika mlamba sukari hachoki, atalamba tena mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story yaja utapata majibu ykHakika mlamba sukari hachoki, atalamba tena mzee
Hakuna libwata utaelewa tu wala usijalNaamini kuwa limbwata lipo na linafanyakazi. Sijaona cha kujifunza hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani umesikia ugomvi unazuia tendo la ndoa??. Sometime mnapigana mikia huku mmenuniana na kila mtu akiwa ametazama upande wake,Vikojoleo tu ndio vinasuguana.
Shukran mkuu ila nitaya weka yote hapa ili wenginr wajifunzeKudumisha ndoa kwa miaka 10 na hasa kwa umri mdogo kama wako ni jambo la kupongeza sana.
Hongera sana sana.
Changamoto ulizopitia ni nyingi nadhani kuliko ulizoandika hapa.
Kila la kheri mkuu[emoji120][emoji120]
Duuuu[emoji849][emoji849]
Sa aende wapi. Kote ndio hayo hayo.Aisee. Umemfuma na njemba ukaishia kulia tu, Pia alikuwekea Sumu na bado unaishi nae!.
Naona kama unatukosea adabu wanaume.
Mwanamke akishakuona una udhaifu kwenye kufanya maamuzi atakufanyia chochote kwakuwa anajua huna cha kumfanya.
Shukran mkuu ila nitaya weka yote hapa ili wenginr wajifunze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HV mkuu kunakuwaga na utaamu kwe eli [emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vikojoleo havinuniani Mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaanza kuzeeka ndo maanaAsante mkuu kilichonitesa huruma na kusema IPO siku atabadilika ila Mungu ni mwema kabadilika saiz nafurahia ndoa yangu
Nawashangaa hawa wakat mi navumilia haya nimemkuta na mtoto tena mchanga j na mashemej watatu tena wadogo mana wazaz wake wote nimewakuta wamefarik mwanaume nikakaZa kumbuka hapo Nina years 19 sina nyumb wala gar alafu natoka tu chuo sina future yoyote ndio unakutana ishu kama hy lakin saiv mashemej zangu wamekuwa wanangu wamekuwa na wote wapo shule za kulipia je vijana wenzangu hapo si mtasema kulogwa huku kwani wengine hawakuwepo tena niwaibie siri mwingn alikuwepo ila nikampiga chini huku barua yangu na posa wamekula na jamaniiSa aende wapi. Kote ndio hayo hayo.
Ni. Kwamba saivi kuna utandawazi tu watu tunajuana tunayofanyiana na wenza wetu.
Kama tungejua namna walivyoishi wazee wetu wengine kufikia mpk miaka 40 au 50 ya ndoa mpk mmoja anamzika mwenzie....haya yetu mbona mdogo sana tu.
Baba anajua kama analea wtt Sio wake ndani ya ndoa......lkn maisha yanasonga fresh... Anakwambia kitanda hakizai haramu.
Mkuu anything is possible in this dunia...watu tumeumbwa tofauti tofauti.
Bwahahahahaha nadhani siku ukienda kupima hao watoto dna ndo utakufa kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1980]Na ningeandika yote mbona ungesema hakuna watu wa aina hiyo labda mars baada ya kuwa [emoji478] ingekuwa collabo ya madrink yote
Cha kushukuru Nina watoto nae watatu na bado mbichi kama mtoto wa kidato na ukituona mm wanangu mbona utasema wadogo zangu
Hapana sijazeeka saiz nina29Kaanza kuzeeka ndo maana
Sio kwenda kupima nimepima saiz natembea kifua mbeleBwahahahahaha nadhani siku ukienda kupima hao watoto dna ndo utakufa kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1980]View attachment 1801746
Mzee wewe una chai nyingi sana,19 umemaliza chuo Tz hii? Na umepima DNA afu 29 una majukumu mengi kwa Tz 29 ndo kwanza maisha hayajakaa vizuri mpaka 35 hiviSio kwenda kupima nimepima saiz natembea kifua mbele
Chai WAP jomba tatizo unakalili pia sijakulia tzMzee wewe una chai nyingi sana,19 umemaliza chuo Tz hii? Na umepima DNA afu 29 una majukumu mengi kwa Tz 29 ndo kwanza maisha hayajakaa vizuri mpaka 35 hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HV mkuu kunakuwaga na utaamu kwe eli [emoji125][emoji125][emoji125]
Sawa broo uzuri wake kaliwa na saiv namkula asante kwa ushaulKilicho baki Ni uuliwe tu yeye na michepuko yake waponde urithi wa zoba flani hivi amazing ...... Kifupi wewe Ni zoba pro max
Ndo hivyo MkuuDuuuu[emoji849][emoji849]