Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] Haya bwana
 
Kila la kheri 1Kush...maisha hayana formula...ni jinsi utakavyopenda kuyapeleka...wengine at 32 washamaliza kutafuta watoto, ni kupiga kazi kujazia mafao ya uzeeni....
 
Kila la kheri 1Kush...maisha hayana formula...ni jinsi utakavyopenda kuyapeleka...wengine at 32 washamaliza kutafuta watoto, ni kupiga kazi kujazia mafao ya uzeeni....
Shukran mkuu, nimekuelewa
 
Una wahi nini mkuu..mwenzio leMutuz a.k.a leMbabaz anagonga 60 wala hajawahi kuwaza ndoa..kwanza kuoa ni utumwa kama utumwa meingine..ndo mana wanasema pingu za maisha sio uhuru wa maisha.
 
Una wahi nini mkuu..mwenzio leMutuz a.k.a leMbabaz anagonga 60 wala hajawahi kuwaza ndoa..kwanza kuoa ni utumwa kama utumwa meingine..ndo mana wanasema pingu za maisha sio uhuru wa maisha.
Sio kuwahi mkuu, we bado ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…