Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Nimeuona
 
Dah mi Nina 29 hapa, Nina Kila kitu maisha Ila sina mke tu,Kuna mda najiuliza maswali ya msingi hivi mke zaidi ya watoto atanipa Nini Cha maana ambacho saivi zikipati??? Kweli tuoe tu lakini kwajinsi nilivyo kamilika hapa na jinsi nilivyo na furaha kama kungekuwa na ndoa za kukutana weekend tu nadhani zingekuwa zinatufaa sisi wengine.

Mungu sijui aliwaza nini kusema tuoe labda siku nikioa naweza kujua.

Una pesa,biashara,kazi,una kula vizuri, unajua kutongoza,una hobbies zako kibao,una furaha ukiwa mwenyewe,una uhakika wa kupata mwanamke mwingine yeyote mzuri. Sasa why kuoa?kwanini tuoe wenzetu wazungu wanajua marriage is not for men.

Kuna mda natamani kuoa sana,Kuna mda nawaza hivi nikioa sio ndo mwanzo wa kunihamishiwa mastress yake na mahuzuni yake kwenye maisha yangu yaani nitoe mali,nichangishe watu kusogeza stress kwenye maisha yangu?Ila yote kwa yote, hayo ni mawazo tu ngoja nioe nijionee mwenyewe
Kama hujui kwa nini unaoa basi usioe endelea kuzini ila ukumbuke zinaa ni uchafu na chukizo kwa Mungu
 
Ima only 26, mazingira kidogo yanibane nioe mwaka huu(nilimpa binti mimba kwao akatimuliwa akaja ghetto na mi siwezi kumfukuza) ila nikawa jorowe. Hapa sifikilii kuoa mpaka 30 ndo ntaanza hizo fikra.
 
Hahaha yaani hautaki kuku Bali tu ---hajawahi kuona kijana wa kiume/wa kike ameolewa but still Ana ishi Yale maisha aliyo kuwa ana yaishi alipo kuwa Batchelor -.huo ni moja ya uhaba wa utayari wenyewe
Aaah wapi.
Acha woga, kila mtu ana namna yake ya kuishi
 
Back
Top Bottom