Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Kuoa Kuna hitaji utayari wa Kujitambua zaidi na kiuchumi ---- ..Vijana wengi sana huwa wanaingia ndani ya ndoa pasipo kuwepo huo utayari wa namna zote 2...na bahati mbaya mahusiano ya ndoa zao huwa yanaishia kupatwa na ajali ya kuvunjika. ....

Kumradhi ---ila Vijana wengi wa umri huo huwa wanaoLea genye
Umenena mkuu,
 
Ukioa tu yaweza kuwa ikawa chanzo cha kukimbiza hivyo ulivyo navyo including furaha unayoipata sasa. ...Ndoa ni Betting
Dah mi Nina 29 hapa, Nina Kila kitu maisha Ila sina mke tu,Kuna mda najiuliza maswali ya msingi hivi mke zaidi ya watoto atanipa Nini Cha maana ambacho saivi zikipati??? Kweli tuoe tu lakini kwajinsi nilivyo kamilika hapa na jinsi nilivyo na furaha kama kungekuwa na ndoa za kukutana weekend tu nadhani zingekuwa zinatufaa sisi wengine.

Mungu sijui aliwaza nini kusema tuoe labda siku nikioa naweza kujua.

Una pesa,biashara,kazi,una kula vizuri, unajua kutongoza,una hobbies zako kibao,una furaha ukiwa mwenyewe,una uhakika wa kupata mwanamke mwingine yeyote mzuri. Sasa why kuoa?kwanini tuoe wenzetu wazungu wanajua marriage is not for men.

Kuna mda natamani kuoa sana,Kuna mda nawaza hivi nikioa sio ndo mwanzo wa kunihamishiwa mastress yake na mahuzuni yake kwenye maisha yangu yaani nitoe mali,nichangishe watu kusogeza stress kwenye maisha yangu?Ila yote kwa yote, hayo ni mawazo tu ngoja nioe nijionee mwenyewe
 
Kuoa Kuna hitaji utayari wa Kujitambua zaidi na kiuchumi ---- ..Vijana wengi sana huwa wanaingia ndani ya ndoa pasipo kuwepo huo utayari wa namna zote 2...na bahati mbaya mahusiano ya ndoa zao huwa yanaishia kupatwa na ajali ya kuvunjika. ....

Kumradhi ---ila Vijana wengi wa umri huo huwa wanaoLea genye
Utayari huo vipi
 
You see ?
Unajikuta una mdogo wako yuko mbioni kujoin university,, inabidi umpush push kwanza, kabla ya majukum hayajakolea,,

Mi kaka angu alichelewa kuoa kwa sababu alikuwa anatupigani kwanza na sie tupate ka ajira,, alipoona tayari tumeanza kujitegemea,, anevuta jiko lako hahahah hahah now namwona mwili umejaa sijui yale madikodiko?
 
Hahaha yaani hautaki kuku Bali tu ---hajawahi kuona kijana wa kiume/wa kike ameolewa but still Ana ishi Yale maisha aliyo kuwa ana yaishi alipo kuwa Batchelor -.huo ni moja ya uhaba wa utayari wenyewe
Utayari huo vipi
 
Hahaha yaani hautaki kuku Bali tu ---hajawahi kuona kijana wa kiume/wa kike ameolewa but still Ana ishi Yale maisha aliyo kuwa ana yaishi alipo kuwa Batchelor -.huo ni moja ya uhaba wa utayari wenyewe
Endelea kujiandaa
 
Madiko diko --mixer peace of mind --if amempata mwanamke anaye jitambua lazima awe na hayo mabadiliko
Unajikuta una mdogo wako yuko mbioni kujoin university,, inabidi umpush push kwanza, kabla ya majukum hayajakolea,,

Mi kaka angu alichelewa kuoa kwa sababu alikuwa anatupigani kwanza na sie tupate ka ajira,, alipoona tayari tumeanza kujitegemea,, anevuta jiko lako hahahah hahah now namwona mwili umejaa sijui yale madikodiko?
 
Back
Top Bottom