Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Sasa wewe una positive,, umetaget kitu flan, so umejiweka kando na hayo mambo ya mahaba niue labda kuna pipo ilikutibua,, so ukaona bora ukae kando,,

Ila ni swala la muda tu,,, mda ukifika baada ya hivo ulivovipa kipaumbele kukamilika basi kuna mtu uta MTUNUKU [emoji23]
 
Back
Top Bottom