Nimetimiza miezi minne sasa bila kunywa pombe!

Mkuu, tatizo sio pombe tatizo liko kwa mtumiaji. Kuna uzi umo humu mzuri sana fuatilia uzi huu:- (UBISHI WA KUHUSU POMBE NI ISHARA YA UJINGA KATIKA KEMIA)
 
Kama pesa ipo mfukoni na umeacha kunywa inawezekana umeacha kabisa . Hongera ndugu yangu hayo ni maendeleo. Jaribu kupiga mahesabu uone pesa ngapi ilitumika kwa pombe , hesabu itakupa moyo wa kama adui aliyekumaliza kiuchumi . Mimi nisipopata kamoja silali lakini kwa mahesabu makali
 
Mkuu, tatizo sio pombe tatizo liko kwa mtumiaji. Kuna uzi umo humu mzuri sana fuatilia uzi huu:- (UBISHI WA KUHUSU POMBE NI ISHARA YA UJINGA KATIKA KEMIA)
Siitaji pombe mkuu
 
Nashukuru alhamdulilahi
 
Mimi Nina siku 20 ila kiu niliyonayo sidhani kama ntamaliza mwezi ila sioni hata tofauti yoyote ya kiuchumi kati ya kunywa na kutokunywa!
Sema kutomb.a ndio kunamaliza hela aisee na kuacha kutomb.a ni kazi sana.
 
Mimi Nina siku 20 ila kiu niliyonayo sidhani kama ntamaliza mwezi ila sioni hata tofauti yoyote ya kiuchumi kati ya kunywa na kutokunywa!
Sema kutomb.a ndio kunamaliza hela aisee na kuacha kutomb.a ni kazi sana.
Duuh🤣🤣🤣hatari
 
Hongera sana mkuu,Mungu aendelee kukulinda usirudie, ili familia izidi kuwa na furaha.
 
Hapo watakao msingizia JPM eti ndie kakusababishia watachuma dhambi!!!
JPM hajatimiza miaka 4 tangu aingie madarakani.
Uliacha enzi "watu tunachezea" hela
Kasema miezi minne sio miaka minne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…