Nimetoa mahari ya Tsh. laki nane (8) nyumbani kwao na mzazi mwenzangu na wamenikabidhi binti yangu (mwanangu) ili nimsomeshe

Hahahaha! Kuna jamaa walimfanyia hivi,akawalipa zote then akasema simuhitaji binti yenu,ila nitakuwa natuma pesa kwa ajili ya matunzo ya mtoto.ifike wakati jamii ibadilike,ikitokea binti mjamzito na jamaa kaonesha nia ya kumuoa,hizi tamaduni ni za kuziweka kapuni ili awasaidie kuwaondolea mzigo nyumbani.maana akisusa kama alivyofanya jamaa,hasara ni yao sio ya mwanaume
 
Hai itwi mahari inaitwa kukomboa mtoto
 
Reactions: Auz
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…