Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
Hahahaha! Kuna jamaa walimfanyia hivi,akawalipa zote then akasema simuhitaji binti yenu,ila nitakuwa natuma pesa kwa ajili ya matunzo ya mtoto.ifike wakati jamii ibadilike,ikitokea binti mjamzito na jamaa kaonesha nia ya kumuoa,hizi tamaduni ni za kuziweka kapuni ili awasaidie kuwaondolea mzigo nyumbani.maana akisusa kama alivyofanya jamaa,hasara ni yao sio ya mwanaumeHuna hela??
Mahari...1,000,000 (negotiable)
Posa...50,000 au 100,000
Faini ya uchafuzi...300,000
Mkaja ....300,000
Blanket 2....150,000
Jembe 2 na mipini....15,000
Kipanga(Kama ni Mbeya)...300,000
Mengine..(mbuzi/ndama)...400,000
Kumtoa kidogo mshenga......!!!
Usafiri wako, mshenga, wazazi wako, mashangazi zako, wasindikizaji n.k.....!