Nimetoa sharti la kupewa laki kila mwezi ....vinginevyo atambae

Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mwanamke wa hali ya chini sana, very cheap, average with no vision. Huyo anaetaka kukuoa, akitimiza Lengo lake baada ya kuambiwa hivyo mtakuwa wote average.
Unaomba laki kila mwezi ndani ya ndoa, Je thamani ya laki moja Leo hii itakuwa Sawa miaka 2,3,5,8 baadae?? Huon miaka mitano ijayo kuwa laki moja itakuwa Sawa thamani ya 10,000 ya sasa??? Hii inadhibitisha ushamba wako. Kadri muda unavyosogea ndivyo money value ina pungua. Ungeomba kupendwa na kithaminiwa kwenye ndoa. Ungefaidi zaidi ya hiyo laki. People with no vision deserve no better in life.
 
Laki is nothing lakini huo ni upuuzi. I can make lots of laki per day lakini mia sikupi...shen** type

Sukari Yenu
 
Bila shaka wewe unatoka uzaramoni maeneo ya maneromango. kama sikosei ni wale mnaoitaga smart phone kama "tach".yaani ulivyotaja laki ukaona bonge la fungu.kimsingi jamaa amekwisha kupiga chini.hawezi oa mwanamke cheap hivyo.maana kwa simulizi yako unaonekana ni mdada wa kazi za ndani
 
Kati ya watu walioishi kwa mateso duniani....baba yako ni mmojawao!mama yako amekulea vibaya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama huzai je?
 
Kuna mtoto.mmoja anaitwa grace.aliniambia nakuuliza .maswali sita.kati ya ni utanipa kila muda ninao taka?2 utakuwa unaninunua nguo mpya kila ninapotaka.utanilisha?n.k
Nikamwambia yaliyo kwenye uwezo wangu nitakufanyia nikishindwa sintakufanyia.kikakasirika na hapo hapo tukazinguana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mwisho wako ni mbaya , hakuna mwanaume boya huku duniani ni wakati tu hujafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…