Nimetoa sharti la kupewa laki kila mwezi ....vinginevyo atambae

Sasa naona uchumi wa viwanda unavyoanza kukwamishwa na watu ambao wamefanya miili yao kama vyanzo vya mapato badala ya kushika jembe na kwenda shambani. Ndugu yangu nikuhakikishie wewe hapo ulipo kuchakaa hakukwepeki na usianze kuleta swaga zako ooo....mwanamke akibeba mimba alipwe hela nyingi. Waaaaaa......t? Kwa hiyo mikorogo unayotumia umeshachakaa tayari hivyo usitake kuwabebesha mzigo watoto wa wanawake wenzio na kama kuzeeke utazeeke tu. ZEEKA KWA AMANI. Karibu kwenye club yangu mpya na utalipwa hiyo hela mara mbili. Afadhali umejileta wakati mwafaka coz nilikuwa natafuata.............
 
Hivi huwa kuna wanawake wa bei nafuu kiasi hiki? Bahati mbaya miye sitafuti, lakini naamini hadi sasa inbox yako imeshajaa proposals.
 
Ubongo ni kitu muhimu Sana katika mwili!
 
nakua imebaki my king ndomana huwa nakurudishia uiweke siku nikitaka tena nakwambia ivoivo

Mahondaw wa Smart911
Mimi nikikupa nakua nishaitoa kwenye mahesabu... Unaponirudishia unakuwa unanisababishia usumbufu mwingi...

Hahaha... Imagine hiyo unayonirudishia wakati nishaitoa kwenye mahesabu nakuwa sina kazi nayo...
 
Mimi nikikupa nakua nishaitoa kwenye mahesabu... Unaponirudishia unakuwa unanisababishia usumbufu mwingi...

Hahaha... Imagine hiyo unayonirudishia wakati nishaitoa kwenye mahesabu nakuwa sina kazi nayo...
What a lucky girl I am dahhhhhhhhhhh! Thank you so much my king.. Thank you for loving and caring about me

God bless you sweetheart [emoji120] [emoji120]


Mahondaw wa Smart911
 
Ukitaka kuwajua wanaume wa jf basi ongelea pesa, watakufufulia hadi bibi mzaa bibi yake na bibi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…