Nimetoa sharti la kupewa laki kila mwezi ....vinginevyo atambae

Yaani huyo mwanaume ataekubali masharti yote hayo atakuwa anafikiri kwa makalio siyo ubonge.wewe utakuwa mke jipu kwa kweli.
Miaka ikisonga mbele ndio nyinyi mnaosema niolewe na mwanaume yoyote bora maisha tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonekana bado mtoto, unalewa sifa za kua wewe ni mzuri, my dear unakuja wakati wewe ndio utatoa hio laki, na pengine usiolewe kabisaaa!!.
 
Fresh tu kwani shingap bn.? Nakuoa nakupa laki miez 3 nakutia mimba. Nakuhudumia kwa miez 4 ya mimba baada y hapo najua huez toa hyo mimba kisha nauchuna, kama hujakimbilia kwa mamako basi ntatembelea matako ubungo hadi mbagara. Pumbavu unafikili laki matako kila mtu nayo.mfyuuuuuu......

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Kwahiyo bei yako hata 3500 per day haifiki? Hata sinza hawauzi hivyo!!!
 
Inabidi jamaa asugue sana si unakodisha kwa gharama pia?
 
Kinachoniuma watu kama mleta uzi unakuta hicho kipato chenyewe anachokililia source yake ni mshahara...huwa hawajiulizi je kipato cha huyo mtu kikatoweka na kutumbuliwa inakuaje...mwisho wa siku ndo wale ambao baadae wanatangatanga kwa kuwa yeye alimwangalia mwenzake kwa kigezo cha uwezo wa kifedha na si kumwangalia kwa kigezo cha tunaendana yaani kimtazamo na kimipango kiasi kwamba inakuwa rahisi kuweka sustainability plan
 
Ukitaka kuwajua wanaume wa jf basi ongelea pesa, watakufufulia hadi bibi mzaa bibi yake na bibi yako.
Lakini mtoa mada haeleweki ni me au ke kuna wakati anajifanya kidume mnalumbana weee sahizi anaibuka dume hatareee yupo kama kambale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mbwa imetikea wapi tena, mwenye bunduki aniazime ifie mbali shenzi. Wakati wenzie wnajipigania kuwa independent yenyewe inaleta stories za kifala

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sasa ukaolewe huko uarabuni?
 
Mwanamke unashusha utu na thamani yako kwa laki moja tu? Huyo bwana ameshakudharau sana. Wanawake huwa mnajiharibia sana na njaa zenu za mapema mapema. Wanaume hatupendi mizinga kwa kuwa inatufanya tujione tunafanywa mabwege. Ungetuliza tamaa zako labda kaka angekupa mara kumi ya hiyo laki kwa mwezi. Umejishusha kama street hooker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…