Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
18,585
Reaction score
16,780
Daah! jela bana..

Sitasema kosa langu ila Mamndenyi analijua.. na hata sema..
Nafili maugwadu ugwadu..

Jembe langu Erickb52 unanipoza na nani kati ya Chocs au Kipipi?..
Kule kwenye seva joto ni kali sana..

Mkuu watu8 yule daughter wako Passion Lady yu hali gani?
sijamwota tena...afu usije tena mtwara! Raia wame sala!
Selo hakuna ma Smile wala nini, full minuno..

Hivi hapa juu ya dunia kuna mbingu? ( Heaven on earth)..
Hivi ile nyimbo ya yule mchaga iliyokuwa inaitwa King'asti I love u and i need u..
iliishia wapi bado hajatoa remix?

Best yangu..nina maugwadu...
 
Wote wangu!
Hahahahaaa
Nenda kwa Macheni wamejaaaaaaaaa
Kipipi na Chocs sio level yako kiwatengu

mi si mind jamaa yangu..najua wako chini..lakini nitawavuta ili waweze kufikia level yangu..ila Kipipi amepona? nilishindwa kumpa pole, due to kifungo..(ban)! pole
 
Last edited by a moderator:
mi si mind jamaa yangu..najua wako chini..lakini nitawavuta ili waweze kufikia level yangu..ila Kipipi amepona? nilishindwa kumpa pole, due to kifungo..(ban)! pole
Hahahahaaa haya bhana
Kipipi kapona siunajua mi ni dawa yake.
Akiimba tu wewe ndiye dr wanguu...utayetibu maradhi yangu mpeeeenzi....!
Lol lazma niende
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa haya bhana
Kipipi kapona siunajua mi ni dawa yake.
Akiimba tu wewe ndiye dr wanguu...utayetibu maradhi yangu mpeeeenzi....!
Lol lazma niende

Na mimi pia ni daktari bingwa..angeendelea kuumwa ningemtibu kibingwaa
 
mi niko poa mdada mzuri..na mimesalimika, usimsikilize huyu Erickb52..kashaona wivu jinsi unavyonijali

Afu braza, nakusoma uko na kilalo cha kushiba!
Hisio langu ukiulopu kumuotea wa kumsaua kabati, basi cha kwanza tukikinga ni kikombe cha kahawa mpaka pomoni !
 
Last edited by a moderator:
Afu braza, nakusoma uko na kilalo cha kushiba!
Hisio langu ukiulopu kumuotea wa kumsaua kabati, basi cha kwanza tukikinga ni kikombe cha kahawa mpaka pomoni !

hahahahahaha...mzee wa misamiati..heshima mbele!!!
hyna mzima?
 
kumbe Erickb52 ndo connector? na mimi nitafutie

uuuuwih!
dada mkubwa mi niliacha kukutengeneze chai siku nyingi ujue!
sasa nin ile ile chai ya mwezi wa pili au kuna mtu ulimuassign tena afanya hii kazi!??? BAK PLEASE COME ZIS WAY!
and call 911,please do!nahisi kuna kubaki mwenyewe tu humu na mzee K alinikabidhi huyu!uuuwih ntasemaje sasa mimi!
 
Last edited by a moderator:
uuuuwih!
dada mkubwa mi niliacha kukutengeneze chai siku nyingi ujue!
sasa nin ile ile chai ya mwezi wa pili au kuna mtu ulimuassign tena afanya hii kazi!??? BAK PLEASE COME ZIS WAY!
and call 911,please do!nahisi kuna kubaki mwenyewe tu humu na mzee K alinikabidhi huyu!uuuwih ntasemaje sasa mimi!

samahani hivi una mahusiano yoyote yale na Arushaone wa Arusha?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom