Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Pole sana Kiwatengu, kwa style yako bado kidogo utasema mwenyewe bora urudi jela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watu8 yule daughter wako Passion Lady yu hali gani?
sijamwota tena...afu usije tena mtwara! Raia wame sala!
Pitia manzese kwenye uwaja wa michezo ya fisi , ukapunguze gesi kwanza.
Uwanja wa Fisi kuna mchezo mmoja tu unaochezwa pale...
mh mh mh mh!!! Ndo nini hii dada? Ayiiiiii
Hahahahahaaaahahahahhahhahah usiogope mdogo wangu!
ahahahhahah umemuona lakn dada kubwa alichoandika!?????
BTW ulikuwa unafanya nini usiku wote huu mdoog wangu humu??
utakuwa hurefuki oh shauri yako!
ujue imebid niite 911Hahahahahaaa
Kwa kweli dada bwaku kanivunja mbafu lol
Hahahaaa snowhite unanivunja mbavu kweli dah msuba noma...mwambie dada bwaku wenzieo huwa hatumezi ule moshi...tunaupuliza nje otherwise ndio hayaa yanayojiri.ujue imebid niite 911
dada bwaku kaua mbaya!ahahahahhahahhahhahhahahhahha
najutaje sasa kumpigisha msuba ,ilikuwa ni pafu mbili tu lakini na King'asti aliniambia haitakaa sana kichwani!
ona sasa!
SnowBall atakua kaongeza mke kwa kweli!huku kuadimika sio bure!
SnowBall atakua kaongeza mke kwa kweli!huku kuadimika sio bure!
hebu ngoja nitumie blutusi kumsaka!
LOADING..................................................................................................................
Hahaaaaa
Mbona mi nina wake 2 na napatikana?
Haahaahaaa kipya kinyemi dadadeeki sio km Bishanga na The secretary watoto 13 ndani ya miaka 11 ya ndoa yao heeheheee lazma vifanyio vyao vishaexpireeheehhehehhehe sasa mwenzio mke ndo mpya mpya bana!hebu muache pacha wangu akule 70 zake!
ehehhehehheh akija usinitaje!mi simooo!na ukidundwa udundwe mwenyewe!
Daah! jela bana..
Sitasema kosa langu ila Mamndenyi analijua.. na hata sema..
Nafili maugwadu ugwadu..
Jembe langu Erickb52 unanipoza na nani kati ya Chocs au Kipipi?..
Kule kwenye seva joto ni kali sana..
Mkuu watu8 yule daughter wako Passion Lady yu hali gani?
sijamwota tena...afu usije tena mtwara! Raia wame sala!
Selo hakuna ma Smile wala nini, full minuno..
Hivi hapa juu ya dunia kuna mbingu? ( Heaven on earth)..
Hivi ile nyimbo ya yule mchaga iliyokuwa inaitwa King'asti I love u and i need u..
iliishia wapi bado hajatoa remix?
Best yangu..nina maugwadu...