Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Pitia manzese kwenye uwaja wa michezo ya fisi , ukapunguze gesi kwanza.
 
mh mh mh mh!!! Ndo nini hii dada? Ayiiiiii

ahahahahhahhahah usiogope mdogo wangu!
ahahahhahah umemuona lakn dada kubwa alichoandika!?????
BTW ulikuwa unafanya nini usiku wote huu mdoog wangu humu??
utakuwa hurefuki oh shauri yako!
 
ahahahahhahhahah usiogope mdogo wangu!
ahahahhahah umemuona lakn dada kubwa alichoandika!?????
BTW ulikuwa unafanya nini usiku wote huu mdoog wangu humu??
utakuwa hurefuki oh shauri yako!
Hahahahahaaa
Kwa kweli dada bwaku kanivunja mbafu lol
 
Hahahahahaaa
Kwa kweli dada bwaku kanivunja mbafu lol
ujue imebid niite 911
dada bwaku kaua mbaya!ahahahahhahahhahhahhahahhahha
najutaje sasa kumpigisha msuba ,ilikuwa ni pafu mbili tu lakini na King'asti aliniambia haitakaa sana kichwani!
ona sasa!
 
Last edited by a moderator:
ujue imebid niite 911
dada bwaku kaua mbaya!ahahahahhahahhahhahhahahhahha
najutaje sasa kumpigisha msuba ,ilikuwa ni pafu mbili tu lakini na King'asti aliniambia haitakaa sana kichwani!
ona sasa!
Hahahaaa snowhite unanivunja mbavu kweli dah msuba noma...mwambie dada bwaku wenzieo huwa hatumezi ule moshi...tunaupuliza nje otherwise ndio hayaa yanayojiri.
hahahahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa snowhite unanivunja mbavu kweli dah msuba noma...mwambie dada bwaku wenzieo huwa hatumezi ule moshi...tunaupuliza nje otherwise ndio hayaa yanayojiri.
hahahahaaaa
dada bwaku tatizo mbishi!
si unamjua!
sina hakika kama alinisikiliza!
eti FP upiliki lepi dada!
 
Last edited by a moderator:
Nimeelewa na namimiiiii!
SnowBall yuko wapi sister?
Sijamuona huku long time....dah come back bro
SnowBall atakua kaongeza mke kwa kweli!huku kuadimika sio bure!
hebu ngoja nitumie blutusi kumsaka!
LOADING..................................................................................................................
 
Last edited by a moderator:
SnowBall atakua kaongeza mke kwa kweli!huku kuadimika sio bure!
hebu ngoja nitumie blutusi kumsaka!
LOADING..................................................................................................................

Hahaaaaa
Mbona mi nina wake 2 na napatikana?
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaa
Mbona mi nina wake 2 na napatikana?

eheehhehehhehe sasa mwenzio mke ndo mpya mpya bana!hebu muache pacha wangu akule 70 zake!
ehehhehehheh akija usinitaje!mi simooo!na ukidundwa udundwe mwenyewe!
 
eheehhehehhehe sasa mwenzio mke ndo mpya mpya bana!hebu muache pacha wangu akule 70 zake!
ehehhehehheh akija usinitaje!mi simooo!na ukidundwa udundwe mwenyewe!
Haahaahaaa kipya kinyemi dadadeeki sio km Bishanga na The secretary watoto 13 ndani ya miaka 11 ya ndoa yao heeheheee lazma vifanyio vyao vishaexpire
 
Last edited by a moderator:
ungekuta na wakezo wameolewa na nduguyo Erickb52
ushukuru tu sikumwambia

Poleni huko kwetu maana naona mmmmh
ni mwendo wa kuhamia mahandakini tu.

mzima lakini.

Daah! jela bana..

Sitasema kosa langu ila Mamndenyi analijua.. na hata sema..
Nafili maugwadu ugwadu..

Jembe langu Erickb52 unanipoza na nani kati ya Chocs au Kipipi?..
Kule kwenye seva joto ni kali sana..

Mkuu watu8 yule daughter wako Passion Lady yu hali gani?
sijamwota tena...afu usije tena mtwara! Raia wame sala!
Selo hakuna ma Smile wala nini, full minuno..

Hivi hapa juu ya dunia kuna mbingu? ( Heaven on earth)..
Hivi ile nyimbo ya yule mchaga iliyokuwa inaitwa King'asti I love u and i need u..
iliishia wapi bado hajatoa remix?

Best yangu..nina maugwadu...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom