Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

yaani nyie snowhite na Erickb52 mbona mmekuwa hivyo?
ina maana siruhusiwi kumtania mdogo wangu?
mnafikiri kama nataka mtu huku ntapiga ukunga?
mbona wapo wengi tu ni kiasi cha kujitwalia tu!
mmenikosea sana na mukuje kumwomba radhi dada mkubwa sasa hivi kabla siku yenu haijawa chachu

erick KIMENUKA huku!:shock:
 
mh!mwenzako mi akiwaga hasira hiv simwongeleshi!
nasubiri hasira zipoe kwanza ndo naenda kuomba msamaha!

Tufute kauli au tukomae kwanza hadi baadae?
Ila naogopa ataninyima Kipipi wangu bure
 
Last edited by a moderator:
mh!mwenzako mi akiwaga hasira hiv simwongeleshi!
nasubiri hasira zipoe kwanza ndo naenda kuomba msamaha!

Kumbe ni mkali eeh! i wonder huyu Erickb52 anamsuggest kwangu..hasira na mimi tofauti..niko mwepesi kurusha ngumi!!
 
Last edited by a moderator:
Tufute kauli au tukomae kwanza hadi baadae?
Ila naogopa ataninyima Kipipi wangu bure

we subiri bana!
kwazna mi jana nilikuwa nimesema tu hata sikutaka asikie!sa sijui ilikuwaje nikamemmention!
tulia erick!
hapa KIMENUKA ujue!
 
Kumbe ni mkali eeh! i wonder huyu Erickb52 anamsuggest kwangu..hasira na mimi tofauti..niko mwepesi kurusha ngumi!!

we nayeee!
hebu tuache tusuluhishe ugomvi kwenye familia!
hiv dada yetu akitununia utatulea wewe!
unajua huyu ndo mama k mdogo kwangu na kwa erick ndo yeye anaamua kama ampe Kipipi au la!
sasa ukionge hv unazidi kutuharibia best!
 
Last edited by a moderator:
yaani bado mnataka kuendelea kunikosea?
mi dada mkubwa najua sana kuwa umekasirika!sasa ndo hapa namwambia erick anyamaze hasikii!
anaendelea tu kukukosea!
dada mkubwa mi wala sikusema hayo mambo nahis kuna mtu sijui aliniteka!manake asubuhi nimeamka nimejikuta hata sipo nyumbani!
 
Back
Top Bottom