Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

we nayeee!
hebu tuache tusuluhishe ugomvi kwenye familia!
hiv dada yetu akitununia utatulea wewe!
unajua huyu ndo mama k mdogo kwangu na kwa erick ndo yeye anaamua kama ampe Kipipi au la!
sasa ukionge hv unazidi kutuharibia best!

inabidi a divert hapo kwenye kumpa Kipipi.. ije kwangu!
 
Last edited by a moderator:
mi dada mkubwa najua sana kuwa umekasirika!sasa ndo hapa namwambia erick anyamaze hasikii!
anaendelea tu kukukosea!
dada mkubwa mi wala sikusema hayo mambo nahis kuna mtu sijui aliniteka!manake asubuhi nimeamka nimejikuta hata sipo nyumbani!
unajua shem wako kanimind sababu ya ile statement yako?
jitahidi upesi sana kumweka sawa kabla hajanikabidhi kwa mama k.....
how will I survive without him? unaujua ugonjwa wangu lakini mdogo wangu wewe....
huyo aliyekuteka mwambie akuteke tu asiingilie mambo mengine
 
mi si mind jamaa yangu..najua wako chini..lakini nitawavuta ili waweze kufikia level yangu..ila Kipipi amepona? nilishindwa kumpa pole, due to kifungo..(ban)! pole
Hivi kumbe ulikua magereza ati,pole sana
Tulikumisije..
 
Unatoka jela na ugwadu kiwatengu
Taratibu usije ukala nyingine kwa kuvamia wake za watu
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahaaa
Ugomvi wake mie simo
Eti kiwatengu dada?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hahahaaaaa
aiseee naona bby unaanza kuibua hasira za wana Ntwara lol
Mwenzio injini inaumaje hapa yan hadi mafua...niletee hedex mpenzi
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa
aiseee naona bby unaanza kuibua hasira za wana Ntwara lol
Mwenzio injini inaumaje hapa yan hadi mafua...niletee hedex mpenzi
Poole dia wangu
Takupatia dawa usijali,mimi teena
 
Hahahaaaaa
aiseee naona bby unaanza kuibua hasira za wana Ntwara lol
Mwenzio injini inaumaje hapa yan hadi mafua...niletee hedex mpenzi

Matokeo ya Kainana Premium Lager au Ndofu? Ako poa lakini? Karibu Ntwara mkuu
 
Back
Top Bottom