The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,537
Haahaahaaa kipya kinyemi dadadeeki sio km Bishanga na The secretary watoto 13 ndani ya miaka 11 ya ndoa yao heeheheee lazma vifanyio vyao vishaexpire
heehehe iya haahaha usipotaka utanitaka nitakupakata nitakupa maji kwenye kata utatakata utan'taka! chezeiya kitu new brand kupaka blue band na mafuta ya ubuyu veeeri niiu siyo ya kwako unayopaka pilipili kichaa kutwaa kuchachamaa na kukauka ka muhogo wa kuchoma Erickb52 utasubiri sana papai chini ya mnazi cc: Madame B , Bishanga
Last edited by a moderator: