Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Matokeo ya Kainana Premium Lager au Ndofu? Ako poa lakini? Karibu Ntwara mkuu

Dah na sijanywa chochote jana wala juzi.
Asante...uko Mikindani? Magomeni? Majengo? Au Coko beach?
Hahahahaaa
Karibu Daslam Arushaone
 
Last edited by a moderator:
ahahahahhahhahah usiogope mdogo wangu!
ahahahhahah umemuona lakn dada kubwa alichoandika!?????
BTW ulikuwa unafanya nini usiku wote huu mdoog wangu humu??
utakuwa hurefuki oh shauri yako!

duh we ndo umenistua ndugu yangu kuwa na makoloni yote hayo?! bora hata dada mkubwa coz najua akiwa sobber she won't furnish that! Anyways. . . . hiyo mida ndo nilikuwa nimemaliza shughuli zangu sasa nautafuta usingizi!!
 
Hahahaaaaa
aiseee naona bby unaanza kuibua hasira za wana Ntwara lol
Mwenzio injini inaumaje hapa yan hadi mafua...niletee hedex mpenzi

ishakuwa positive tena + kabisa..ni wakati wakujiuliza mko wangapi?
 
unajua shem wako kanimind sababu ya ile statement yako?
jitahidi upesi sana kumweka sawa kabla hajanikabidhi kwa mama k.....
how will I survive without him? unaujua ugonjwa wangu lakini mdogo wangu wewe....
huyo aliyekuteka mwambie akuteke tu asiingilie mambo mengine
Katekwa wapi kajipeleka mwenyewe tu.
Siku hizi hakuna kutekana FP anataka upungize hasira
 
Last edited by a moderator:
duh we ndo umenistua ndugu yangu kuwa na makoloni yote hayo?! bora hata dada mkubwa coz najua akiwa sobber she won't furnish that! Anyways. . . . hiyo mida ndo nilikuwa nimemaliza shughuli zangu sasa nautafuta usingizi!!
Jamani love upo?
Miss u sana.
Unasalimiwa na mke mwenzio Chocs
 
Last edited by a moderator:
Dah na sijanywa chochote jana wala juzi.
Asante...uko Mikindani? Magomeni? Majengo? Au Coko beach?
Hahahahaaa
Karibu Daslam Arushaone

Niko hapa town, daraja la kwenda Mikindani walilivunjilia mbali yesterdy!
 
duh we ndo umenistua ndugu yangu kuwa na makoloni yote hayo?! bora hata dada mkubwa coz najua akiwa sobber she won't furnish that! Anyways. . . . hiyo mida ndo nilikuwa nimemaliza shughuli zangu sasa nautafuta usingizi!!

Eti unamfahamu Chocs?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom