Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!


njoo kwangu nkutulizeeee
 
Keshakagua nusu ya wanawake wote huku cc tumebaki wazee na wanafunzi tu.
 
Khaa! kumbe ni wewe mkuu, sorry sana aisee...mbona sasa hukujitambulisha wakati nilikueleza nilibadili simu...enewei ngoja niisevu tena.
Mie nipo poa sana mkuu, maisha ynasonga vyema

Afu watu8 juzi nilikutumia sms ukaniuliza mimi ni nani while unazo namba zangu...Mzima wewe?
 
Last edited by a moderator:
Keshakagua nusu ya wanawake wote huku cc tumebaki wazee na wanafunzi tu.

kuna mwali wako! nipo nachonga nae underground akikubali tu! namtambulisha... anaitwa shansarie ngoja niweke mambo sawa.. niandalie watu wakuimba uchori..ngyealika kapsa mae...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…