Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,411
- 4,777
Hahahahat
Bishanga kaendea pampers uholanzi
Hiyo nimeipenda
Pampas mpaka abroad,familia bora..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahat
Bishanga kaendea pampers uholanzi
Daah! jela bana..
Sitasema kosa langu ila Mamndenyi analijua.. na hata sema..
Nafili maugwadu ugwadu..
Jembe langu Erickb52 unanipoza na nani kati ya Chocs au Kipipi?..
Kule kwenye seva joto ni kali sana..
Mkuu watu8 yule daughter wako Passion Lady yu hali gani?
sijamwota tena...afu usije tena mtwara! Raia wame sala!
Selo hakuna ma Smile wala nini, full minuno..
Hivi hapa juu ya dunia kuna mbingu? ( Heaven on earth)..
Hivi ile nyimbo ya yule mchaga iliyokuwa inaitwa King'asti I love u and i need u..
iliishia wapi bado hajatoa remix?
Best yangu..nina maugwadu...
Hahahaha
Hiyo nimeipenda
Pampas mpaka abroad,familia bora..
Keshakagua nusu ya wanawake wote huku cc tumebaki wazee na wanafunzi tu.
Afu watu8 juzi nilikutumia sms ukaniuliza mimi ni nani while unazo namba zangu...Mzima wewe?
Hivi we ni KE au ME?
love u deadly....
KE waukweli