Nipo tele kama pishi la mchele.
Hapo bold . . ushindwe na ulegee!
Nipo tele kama pishi la mchele.
Hapo bold . . ushindwe na ulegee!
Yaani vijikomenti vingine!
Vimekaa kimagumashimagumashi tu!
Sijui huyu kagafilika kua hili ni jamvi la watu wazima!
Eti "ushindwe na ulegee!" huku umebana pua! Kwa Sauti ilo laini kihivyo!
"zugeshen jazz band"
Hahahaa
Sandeni sio sumu ya panya ni sumu ya walaku
ayaa! mtu akipiga mambo anakufa?
Udigital wako uko kwenye kikojoleo tu..damn that kind of digital!!
cc; Passion Lady..
kwani hua unaniota au?!!i miss u too..wandoto wangu
Hahahaaa
Sasa Passion Lady kafanyaje na kikojoleo hadi umcopy?