Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Huu ni mwezi wangu wa kwanza, toka nianze kazi private sector.
Sijawai pokea malipo yoyote,
Sina hela wakuu nimepigika balaaa.
Job naonekana kama maisha safi lakin siri naijua mm,
Mfukon nina Jero tu hata chakula cha mchana siwezi kununua.
Job napo kazi zilikua nyingi kinyama nikaitwa kunywa chai nikaringa
Nina hasira kupita maelezo,
Yani nimepita sehemu nikiwa naelekea home,
ombaomba kaniomba hela nimemjibu sina kwa kushauti balaa.
X wangu yupo mbali na mim.
X wa karbu nae yuko busy na mambo yake.
Nilihis mpenz anaweza nifaliji nikikaa na future wife ataniambia maneno mazur, lakin wap hata wakunitia moyo simuoni.
hata nguvu zakusoma biblia sina.
Maana usomaji wangu wa bible huwa hadi akili itulie ndio naweza kusoma somo likaniingia kichwan bila hivo inakua kazi bure.
Nataman ningekua karbu na marafik zangu wa chuo wa kiume, nahs moyo ungesawazika.
Nimekua nikiweza kuhandle hii situation lakin leo nimepatwa na hasira sana.
But one day yes, nitaenda kutafuta kwangu.
Maana najua hapa nipo home saiv najua atakuja na mzazi kunivuruga zaidi na kukwepa siwezi, maana mzee wangu ni kichomi masaa 24.
Nimepata na somo.
Neno la Mungu lanifarji
Zaburi 126:5
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawai pokea malipo yoyote,
Sina hela wakuu nimepigika balaaa.
Job naonekana kama maisha safi lakin siri naijua mm,
Mfukon nina Jero tu hata chakula cha mchana siwezi kununua.
Job napo kazi zilikua nyingi kinyama nikaitwa kunywa chai nikaringa
Nina hasira kupita maelezo,
Yani nimepita sehemu nikiwa naelekea home,
ombaomba kaniomba hela nimemjibu sina kwa kushauti balaa.
X wangu yupo mbali na mim.
X wa karbu nae yuko busy na mambo yake.
Nilihis mpenz anaweza nifaliji nikikaa na future wife ataniambia maneno mazur, lakin wap hata wakunitia moyo simuoni.
hata nguvu zakusoma biblia sina.
Maana usomaji wangu wa bible huwa hadi akili itulie ndio naweza kusoma somo likaniingia kichwan bila hivo inakua kazi bure.
Nataman ningekua karbu na marafik zangu wa chuo wa kiume, nahs moyo ungesawazika.
Nimekua nikiweza kuhandle hii situation lakin leo nimepatwa na hasira sana.
But one day yes, nitaenda kutafuta kwangu.
Maana najua hapa nipo home saiv najua atakuja na mzazi kunivuruga zaidi na kukwepa siwezi, maana mzee wangu ni kichomi masaa 24.
Nimepata na somo.
Neno la Mungu lanifarji
Zaburi 126:5
Sent using Jamii Forums mobile app