Nimetoka kuota Chalamila kateuliwa uspika

Nimetoka kuota Chalamila kateuliwa uspika

Atakuja tulia kukutuliza...
Tunajua Jamii Forum ni jukwaa lililojaa wasomi na wabobezi wa mambo mbalimbali, Kiingereza sio lugha yangu ila napenda sana kujifunza, nilitegemea huyo aliyeona kosa angenielekeza, lakini badala yake amenitukana dah! nimevunjika moyo wa kujifunza hiyo lugha aisee.
 
Mzuka wanajamvi!

Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.

Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.

Damn!
DR.MSUKUMA ANGEFAA ZAIDI
JamiiForums-182331231.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
You are just unfair and hard on me. I can't choose what to dream. And as I said earlier whatever I dream comes true. Chalamila is our next speaker.

Nothing we can do our hands are tied the dude Will be the speaker.I clearly admit as a nation we are completely doomed and there's nothing we can do about it. it's to face and live with the situation!

Aaah gringo mkaldayo is teming ung’eng’e all the way from Kalpenaumu..!

Damn!![emoji276]
 
Chalamila akiwa spika atataka Katiba Mpya ili naibu wake asimloge
 
Mzuka wanajamvi!

Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.

Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.

Damn!
Kweli hiyo ni ndoto, ila mkuu acha bhangi
 
Mzuka wanajamvi!

Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.

Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.

Damn!
Bila shaka utakuwa mwanae Chala Mila au mwanafunzi wake was pale Udom🤔.
 
Mzuka wanajamvi!

Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.

Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.

Damn!
Mkuu ungelikuwa umesoma katiba,hiyo ndoto ingelikuepuka.

Ndoto saazingine hupita "mule mule" unapoishia ufahamu wa mtu.

Kiuhalisia Spika anachaguliwa kutoka miongoni mwa wabunge wa majimbo waliochaguliwa kwa kupigiwa kura, ndivyo katiba inavyosema.

Sasa mbunge huyu wa" from no where" wa ndoto zako, labda mwaka 25 au 30 endelea kumtakia heri.
 
Mkuu ungelikuwa umesoma katiba,hiyo ndoto ingelikuepuka.

Ndoto saazingine hupita "mule mule" unapoishia ufahamu wa mtu.

Kiuhalisia Spika anachaguliwa kutoka miongoni mwa wabunge wa majimbo waliochaguliwa kwa kupigiwa kura, ndivyo katiba inavyosema.

Sasa mbunge huyu wa" from no where" wa ndoto zako, labda mwaka 25 au 30 endelea kumtakia heri.
Katiba ya wapi hii?
Huoni hata Tulia aliteuliwa tu(mbunge wa ikilu) japo unaibu.
Adam sap na Msekwa walikuwa wabunge wa wap?
Au ndio ujuaji.
Hukuona hata watu wanawajadili Chenge na Masele uspika hum?
 
Back
Top Bottom