Kwanini usiandike tu kwa kiswahili? Mnapenda kingereza wakati hakiwapendi. Eti "he do not deserve" stupid!It's just a dream in reality he do not deserve.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usiandike tu kwa kiswahili? Mnapenda kingereza wakati hakiwapendi. Eti "he do not deserve" stupid!It's just a dream in reality he do not deserve.
Tunajifunza Bro, kama nimekosea si unanielekeza Mkuu, kwani mpaka unitukane?Kwanini usiandike tu kwa kiswahili? Mnapenda kingereza wakati hakiwapendi. Eti "he do not deserve" stupid!
Tunajua Jamii Forum ni jukwaa lililojaa wasomi na wabobezi wa mambo mbalimbali, Kiingereza sio lugha yangu ila napenda sana kujifunza, nilitegemea huyo aliyeona kosa angenielekeza, lakini badala yake amenitukana dah! nimevunjika moyo wa kujifunza hiyo lugha aisee.Atakuja tulia kukutuliza...
Unafahamu kwamba siku hizi hata raia anaruhusiwa kugombea U-Spika?Lazima awe na jimbo
DR.MSUKUMA ANGEFAA ZAIDIMzuka wanajamvi!
Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.
Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.
Damn!
You are just unfair and hard on me. I can't choose what to dream. And as I said earlier whatever I dream comes true. Chalamila is our next speaker.
Nothing we can do our hands are tied the dude Will be the speaker.I clearly admit as a nation we are completely doomed and there's nothing we can do about it. it's to face and live with the situation!
Dah sorry sana mkuu,nisamehe bureTunajifunza Bro, kama nimekosea si unanielekeza Mkuu, kwani mpaka unitukane?
You have a point. Nili mix up na ile ya PMUnafahamu kwamba siku hizi hata raia anaruhusiwa kugombea U-Spika?
Kweli hiyo ni ndoto, ila mkuu acha bhangiMzuka wanajamvi!
Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.
Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.
Damn!
Bila shaka utakuwa mwanae Chala Mila au mwanafunzi wake was pale Udom🤔.Mzuka wanajamvi!
Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.
Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.
Damn!
Uwe na amani Bro, yameishaDah sorry sana mkuu,nisamehe bure
Mkuu ungelikuwa umesoma katiba,hiyo ndoto ingelikuepuka.Mzuka wanajamvi!
Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.
Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.
Damn!
Katiba ya wapi hii?Mkuu ungelikuwa umesoma katiba,hiyo ndoto ingelikuepuka.
Ndoto saazingine hupita "mule mule" unapoishia ufahamu wa mtu.
Kiuhalisia Spika anachaguliwa kutoka miongoni mwa wabunge wa majimbo waliochaguliwa kwa kupigiwa kura, ndivyo katiba inavyosema.
Sasa mbunge huyu wa" from no where" wa ndoto zako, labda mwaka 25 au 30 endelea kumtakia heri.