Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,135
- 4,306
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzuka wanajamvi!
Kungekuwa kuchagua cha kuota hii ndoto ningeikataa mapema kabla asee. Ndio hivyo tena Chalamila ndo atamrithi Ndugai. Atapewa ubunge na kuwa spika.
Na 'ninachootaga' kinakuwa kweli. Yani nimeamka Sasa hivi nakumaindi kichiz. Itabidi tu tuzoee hali hii inayokuja hamna namna.
Damn!