Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Wazee wana hekima sanaMzee kwa Hasira akamwambia Bwanamdogo kuwa amepoteza mwanamke mzuri kwa ajili ya uzembe wake, akamwambia kuwa yule alikuvumilia pasipokutafuta mapenzi nnje lakini hakubadilika, akamwambia kuwa akipata mwanamke mwingine kichaa kwa tabia zile atamletea mwanamme mwingine chumbani kwake pale pale atamsaidia kazi vizuri.
Akileta wivu mpe ale kama ataweza sasa [emoji1][emoji1]Mwanaume akikosa nguvu za kiume anajidai ana wivu sana[emoji848]
Anakuwa anajihami tu, kama nyoka asiye sumu ambaye anaweza kulala na binadamu kitanda kimoja na shuka moja mmm[emoji21][emoji21]Mwanaume akikosa nguvu za kiume anajidai ana wivu sana[emoji848]
Haaa haaa kiuno cha boxer [emoji3][emoji3]Mirungi ina handasi mbaya sana na unatakiwa uwe na pesa addiction ni mbaya sema huyo ashukuru anapata usingizi mi watu nawajua hawana time na mademu wala hawalali kazi kusaga tu
mtu analala saa tisa na 11 yuko macho kuanzia saa nne wako nje wanaita kijamvi vijana wa pwani watanielewa hapo kuna box za Big G na maji ya mabiri di watu wanasaga mpaka saa tisa mbaya sana mtu anakula mpaka ya 15k kwa kweli😳😳😳😳pesa hamna ukimka kuna majani kama kuna tumbiri walikuwa wanacheza juu ya mtu
hii imemtia umaskini jamaa yangu mpaka kauza vitu vyake vya ndani hawezi kuacha shavu limekuwa kama kiuno cha boxer😕😕😕😕 yaani kama mpira ni kubwa mno
Sema veve ukiizoea ina addiction aseee ukifika ule mda wake unapata arosto mbaya mbovu.
Mkuu nyie ni Warangi? Maana hao watu wanapenda sana kuchanja veve/miraa/mirungi/gomba.
ohooo tena usijaribu mkuu stimu yake ni balaa kuacha ndio itakua kaziHivi kutafuna mirungi kuna faida gani, maana unakuta jitu limejaza majani mdomoni kama mbuzi
na kusahau sahau na uvivu uliopitiliza mpaka kufikiria pia huwezi gomba sio jaman nimetumia toka 2016 ilipofika 2019 nikawa nimedhamiria kuacha mazingira hayaruhusu sio home kitaa yaani vijana wanatafuna na wew unajikuta umerudi mzigoni now nipo dom afadhali nimeweza kuacha maan mazingira niliyopo sikutani na watu wakichanja mara kwa maraAnachanja gomba mbaya sana ni ww na BIG G guna hamu na wife wala nn ni nzuri ila madhara yake ndio hayo amesahau na hasira kali
Vise versa is totally true.Mwanaume akikosa nguvu za kiume anajidai ana wivu sana[emoji848]
Mungu ashukuriwe.na kusahau sahau na uvivu uliopitiliza mpaka kufikiria pia huwezi gomba sio jaman nimetumia toka 2016 ilipofika 2019 nikawa nimedhamiria kuacha mazingira hayaruhusu sio home kitaa yaani vijana wanatafuna na wew unajikuta umerudi mzigoni now nipo dom afadhali nimeweza kuacha maan mazingira niliyopo sikutani na watu wakichanja mara kwa mara
Kutumia hayo majani si ni jinai kama bange?Aisee pale Kolo - Kondoa hali ni mbaya sana. Nilipita hapo jana karibu kila mtu anakula gomba aka mirungi! Yaan si bodaboda kijana au mzee wote midomo inatafuna vitu!
Mkuu mimi ni mwenyeji wa kanda hiyo. Amini nakuambia warangi wanapenda mirungi sana.uliwahi kufika moshi mkuu yaani ukiwa na mtoto moshi na rombo kuna asilimia 80 za yeye kutumia veve mimi nimeweza kuacha sababu ya kutoka lile eneo
Mirungu na kamari...lazima araree mbereee[emoji848]Ukiendekeza mirungi lazima mke akukimbie