Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Okay...ila swali langu, ni nani mtu sahihi wa kumwambia?Hapo alikuwa ashaamua kukata kamba Kwa jamaa.. huwezi sema hivyo ukitegemea suluhisho la tatizo hata wakirudiana itakuwa ni aibu Kati Yao.