Nimetoka kusuluhisha ugomvi mkubwa wa Mdogo wangu na mke wake

Nimetoka kusuluhisha ugomvi mkubwa wa Mdogo wangu na mke wake

Simuwazii mwanamke mabaya ila sitaki nihitimishe kuwa huo ndo ukweli 100% nikilinganisha na maelezo ya mdogo wako.

Kaa na dogo mzungumze kiume, usikute hata chanzo cha mirungi ni mwanamke. Usimchukulie poa mwanamke linapokuja suala la kuwa innocent, wana uwezo mkubwa sana wa kuaminika na kuonekana hawana makosa.

Kitendo cha kuwa na ujasiri wa kusema kuwa haniridhishi na mdogo wako kusema kuwa kwa muda mrefu amekuwa akitaka waachane usihitimishe kuwa dogo ndo tatizo 100%, kama sio kweli kwa 100% mtampoteza mdogo wenu na mawazo.

Mwanamke akipiga yowe ukawa wa kwanza kufika ukamkuta kadondosha chungu huku kajilowesha maji kipande cha nguo yake kikiwa pembeni kabla hujamwinua au kumsaidia na kumuuliza ni nn shida, hakikisha kuna mtu mwingine kafika au mazingira ni salama maana wanaokuja nyuma wanaweza hata wasimuulize shida ni nn wakakuua wewe.
Umenikumbusha mbali Mkuu,

Rafiki yangu iliwahi kumtokea hii kitu mpaka Leo ni mlemavu wa mguu

Ilitokea Laela B, Sumbawanga uko mkoa wa Rukwa. Jamaa alikuwa na mahusiano na bint badae wakaja kuachana kumbe bint hakupendezwa na jinsi alivyoachwa. Zikapita wiki hatimaye miezi 3 tangu waachane siku hiyo rafiki yangu Hana hili Wala lile akapigiwa simu na bint kuwa anamuhitaji sehemu Ana shida ya dharula .

Jamaa tulikuwa nae tunaangalia Mpira akatuaga akaenda Kijiji Cha pili alipo demu kufika uko kamkuta bint njian anamuuliza alichomuitia ni kipi bint anajiuma Uma Mara ghafla bint anaanza kulia kama utani tu kaangua bonge la kilio akajiangusha chini jamaa haelewi anaanza kum,bembeleza kuhamaki watu washaanza kukaaa bint anadai kabakwa daah

Jamaa angu alipigwa Sana bahati kuitwa mjumbe ndo kuwahoji Hadi polisi bint kapimwa zahanati hamna kitu ikabidi kesi imalizwe kifamilia aisee.

Wanawake sio watu wa kuwaamini .
 
Umenikumbusha mbali Mkuu,

Rafiki yangu iliwahi kumtokea hii kitu mpaka Leo ni mlemavu wa mguu

Ilitokea Laela B, Sumbawanga uko mkoa wa Rukwa. Jamaa alikuwa na mahusiano na bint badae wakaja kuachana kumbe bint hakupendezwa na jinsi alivyoachwa. Zikapita wiki hatimaye miezi 3 tangu waachane siku hiyo rafiki yangu Hana hili Wala lile akapigiwa simu na bint kuwa anamuhitaji sehemu Ana shida ya dharula .

Jamaa tulikuwa nae tunaangalia Mpira akatuaga akaenda Kijiji Cha pili alipo demu kufika uko kamkuta bint njian anamuuliza alichomuitia ni kipi bint anajiuma Uma Mara ghafla bint anaanza kulia kama utani tu kaangua bonge la kilio akajiangusha chini jamaa haelewi anaanza kum,bembeleza kuhamaki watu washaanza kukaaa bint anadai kabakwa daah

Jamaa angu alipigwa Sana bahati kuitwa mjumbe ndo kuwahoji Hadi polisi bint kapimwa zahanati hamna kitu ikabidi kesi imalizwe kifamilia aisee.

Wanawake sio watu wa kuwaamini .
Mpe pole sana kwa hilo tukio....
 
Mirungi ina handasi mbaya sana na unatakiwa uwe na pesa addiction ni mbaya sema huyo ashukuru anapata usingizi mi watu nawajua hawana time na mademu wala hawalali kazi kusaga tu

mtu analala saa tisa na 11 yuko macho kuanzia saa nne wako nje wanaita kijamvi vijana wa pwani watanielewa hapo kuna box za Big G na maji ya mabiri di watu wanasaga mpaka saa tisa mbaya sana mtu anakula mpaka ya 15k kwa kweli😳😳😳😳pesa hamna ukimka kuna majani kama kuna tumbiri walikuwa wanacheza juu ya mtu

hii imemtia umaskini jamaa yangu mpaka kauza vitu vyake vya ndani hawezi kuacha shavu limekuwa kama kiuno cha boxer😕😕😕😕 yaani kama mpira ni kubwa mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pombe , Bangi. Sigara ,Mirungi. Kwa ujumla wake vinasababisha wanaume washindwe kusimamisha mboo. Zikisimama ni legelege, uwezo wa kuhimili tendo unapungua, hamu inapungua , Kiwango cha Shahawa kinapungua, kiwango cha mbengu kinapungua, Saizi ya korodani inapungua,

KWAKUA HESHIMA YA MWANAMKE UNAIWEKA KITAMDANI....

Basi mambo hayo yanafanya mwanamke ama

[emoji117]Akudharau na asikuheshim
[emoji117]Akuchukulie poa kiasi kwamba asijali
[emoji117]WAHUNI WAKUSAIDIE.

Na hata wasipokusaidia, kwakua wee humtombi ,akaridhika, nasasa anakudharau,,, Utaanza kutojiamini. Matokeo yake ni MAWIVUUUUU.

Eeehhh kwan unadhan kwako kafata Kula?kuvaa??Kulala???.,... Hata kwao anavipata.

Kwako kafata MASHINE..
Sio pombe zote hulaza dudu! Actually baadhi ya pombe hasa spirits huchochea uimara wa dudu. Ukitaka dudu lege lege we fakamia beer 🍻
 
Poleni mkuu.. kupata kibinti kitulivu na kielewa karne hii ni kazi sana .. daah Anapoteza kweli DODO mdogo wako maana kupata CHOMBO iliyoamua kufanya maisha kazi kweli kweli.. wengi mda huu wapo mabarabarani wanafanya biashara ya miili yao wenyewe na wanamionekano mizuri tu.. msihi dogo ajirekebishe akamchukue mkewe asirete mzaha..
 
Mara kwa mara nimekuwa nikipenda kuweka visa vinavyogusa maisha yangu hata marafiki na ndugu zangu ili mpate kitu cha kujifunza hapa

Mdogo wangu wa kiume ana mwanamke ambae alimuoa mwaka 2017, ni binti mstaharabu sana mwenye heshima sana maana hata nyumbani ukweni anapendwa sana na wazee na dada zangu pia,

Sasa kuazia mwaka 2020 tukawa tunaskia visa vya chini chini tu kuwa mdogo wangu amekuwa akimnyanyasa sana huyo binti na unyanyasaji alio kuwa nao ulikuwa ni wivu kupitiliza na kufanya binti kuwa kama mfungwa maana alikuwa hataki afanye kazi yoyote wala kutoka nyumbani akiamini akitoka ataenda kupitiwa na wanaume wengine

Wiki iliyopita ulitokea ugomvi mkubwa dogo alimpiga yule binti nusu amuuwe ikabidi familia upande wa mwanume na kwao upande wa mwanamke tufunge safari kuja Dar kujua tatizo ni nini na kusuluhisha pia, hivyo tulivyofika kikawekwa kikako kikubwa ili lijulikane jambo lililopelekea Bro kufanya kitendo kibaya kama kile ambacho si jadi yetu.

Dogo alipopewa nafasi aeleze nini shida, akasema kuwa mwanamke wake, kwa muda wa mwezi sasa amekuwa akitaka watengane kwa amani ili migogoro na wivu uliopotiliza isiendelee na kila mtu awe na amani na maisha yaendelee, akasema kuwa kitendo hicho kilimfanya amuhisi mkewe kuwa tayari ana mwanaume mwingine hivyo alikuwa anatafuta sababu tu watengane na akiangalia kasha mgharamia vitu vingi hivyo akajikuta mkono umeteleza akamshushia kipigo lakini anajutia

Ikabidi tuje na kwa upande wa Binti tumskilize na yeye atoe maelezo yake tujue mwenye tatizo ni nani, hapa ndipo tulipoaibika maana mambo aliyoyaongea binti tulijikuta sisi kama upande wa mwanaume tunaaibika mbele ya ndugu wa mwanamke

Binti uvumilivu ukamshinda ikabidi afunguke yote, akasema kuanzia wameanza kuishi wote mwanaume alijiingiza kwenye matumizi ya mirungi sijui wanaita gomba kupitiliza, asasema akirudi kazini kazi yake ikawa ni kukaa nnje anasaga mirungi hadi sa tano au sita za usiku kila siku akawa anashindilia mirungi tu na Sigara, ndani anakuja kulala saa sita or saba usiku

Binti akasema kuwa aliendelea kumvumilia tu na kila alipomshauri aache kutumia hivyo vitu akawa anaambulia maneno makali

Akasema kuwa ikafika kipindi akawa amebadilika kabisa yani hata kitandani uwezo wa kufanya mapenzi hadi kumridhisha ukawa umepotea kabisa yaani akifika chumbani ni kulala tu hamu ya mapenzi na nguvu ya kufanya mapenzi ikapotea kabisa hvyo kilichofuatia yakawa ni maisha ya wivu tu sababu alikuwa hamridhishi kitandani.

Baada ya kusikiliza pande zote mbili ikaonekana Mwanaume ndio ana matatizo tena sio madogo ni makubwa, Upande wa Binti ukagoma kusulihisha wakasema wanaondoka na mtoto wao wanaogopa atakuja kukatwa na mapanga aje auliwe huko mbeleni na wameondoka nae kweli.

Mzee kwa Hasira akamwambia Bwanamdogo kuwa amepoteza mwanamke mzuri kwa ajili ya uzembe wake, akamwambia kuwa yule mwanamke alivumilia sana pasipo kutafuta mapenzi nnje akiamimi atabadilika lakini Dogo hakubadilika.

Akamwambia kuwa akipata mwanamke mwingine kichaa kwa tabia zile atamletea mwanamme mwingine chumbani kwake pale pale atamsaidia kazi vizuri.

Wakuu tumeaibika sana hapa tupo kwenye basi na wazee tunarudi mkoa kwa aibu kali sana , tumeaibika sana, mzee wetu amekasirika sana anasema ni heri Bwanamdogo angemueleza tu ukweli kwenye Simu asingekanyaga ardhi ya Dar kufuata aibu kama ile
Kumbe wanawake wavumilivu wasio na michepuko , bado wapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gomba aka miraa

Warangi

Wadigo

Wapare

Makabila haya yamekuwa wahanga wakubwa wa miraa


Na jamaa ya Waarabu koko kwa sana tu.

Sema wengine wanatumia katika umri mkubwa kiasi kwamba mke asipolalwa wala hajali maana umri unauwa umeenda watoto wako Sekondari n.k
 
Hamkwenda kusuluhisha.

Mlienda kushuhudia ndoa ikivunjika


Huwezi kulazimisha usuluhishi iwapo upande ulokosewa hauko tayari kwa suluhu.

Upande ulokosewa umekuja na maamuzi ya kutaka kuachana tu sababu migogoro ya muda mrefu ambapo mume amekuwa akionywa na kutokubadilika kitabia sasa hapo suluhu ya nini si itakuwa kujidanganya?!
 
Halafu nguvu zinapungua tu hata bila mirungi wala kilevi mbona mi situmii kilevi chochote na sina nguvu za kiume


Wengine hurogwa na michepuko kwamba akiwa kwa mchepuko nguvu kama zote akiwa kwa mke wa ndoa olaaa nguvu hakuna.

Kuna michepuko Mungu atawafanyia kisasi kibaya.!
 
  • Thanks
Reactions: THT
Nina mtu namfahamu naye Habari inafanana na hiyo.

Mwanaume ndani hajiwezi badae inajulikana kuwa anamchepuko na inasemekana Kazaa nao mtoto wa miaka 2 - 3 hivi.

Sasa mke kusikia akamuuliza akasema ndio,

Mke akawa disappointed kwamba ndani mume nguvu hana lakini kumbe nje anamchepuko hadi kuzaa?

Sasa haijulikani mtoto ni kweli wake au mchepuko kamchomekea na mchepuko huyo mtoto amewapa wababa 3 tofauti.

Mke kaamua kuondoka sasa ni miezi sasa na hana mpango wa kurudi kaitwa na ndugu wa mume mke kawaambia kuwa hayuko tayari Kwa suluhu yoyote,
Kasema Mwanaume amwite mchepuko wake waishi pamoja!

Mchepuko ni jobless hana uwezo hata wa kuingiza 100 mjini anawekwa na Umalaya na kuvunja nyumba za watu.

Halafu mke anasema kwa miaka mingi amekuwa alistukia huo uhusiano na mchepuko na kumuonya mumewe lakini mume akawa anakana na yule mchepuko anakanusha kuwa hawana uhusiano wowote!

Halafu baada ya miaka inaonekana wamezaa mke ameona isiwe tabu ngoja awape uhuru waishi na mchepuko maana yeye amekuwa ni kikwazo kiasi cha mchepuko kuroga sana!
 
Huwezi kulazimisha usuluhishi iwapo upande ulokosewa hauko tayari kwa suluhu.

Upande ulokosewa umekuja na maamuzi ya kutaka kuachana tu sababu migogoro ya muda mrefu ambapo mume amekuwa akionywa na kutokubadilika kitabia sasa hapo suluhu ya nini si itakuwa kujidanganya?!
Sawa
 
Huwezi kulazimisha usuluhishi iwapo upande ulokosewa hauko tayari kwa suluhu.

Upande ulokosewa umekuja na maamuzi ya kutaka kuachana tu sababu migogoro ya muda mrefu ambapo mume amekuwa akionywa na kutokubadilika kitabia sasa hapo suluhu ya nini si itakuwa kujidanganya?!
Ndio hvyo
 
Dogo wa hovyo sana....hapigi miti vizuri halafu anajifanya mtu wa hasira...

Mwambie Dogo asipoacha miraa,,, basi aachane kabisa na maswala ya mapenzi....ajikite kula tu mirungi..
 
Dogo wa hovyo sana....hapigi miti vizuri halafu anajifanya mtu wa hasira...

Mwambie Dogo asipoacha miraa,,, basi aachane kabisa na maswala ya mapenzi....ajikite kula tu mirungi..
Kweli hii
 
Back
Top Bottom