GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na nahisi huenda GENTAMYCINE Usiku wa Saa Nne ( 4 ) Jumamosi ijayo ya tarehe 29 April. 2023 Nikalia zaidi na Kuhuzunika Kunakotukuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwa Wydad Casablanca FC tena akiwa katika Ardhi ya Kwao huku Majukwaani wakiwa Wanahanikizwa vilivyo na Mashabiki wao Wakorofi utadhani ni Wavuta Bangi wakati kumbe hata hawaivuti.Mpira unadunda mkuu
Wanavuta mkuuSiyo kwa Wydad Casablanca FC tena akiwa katika Ardhi ya Kwao huku Majukwaani wakiwa Wanahanikizwa vilivyo na Mashabiki wao Wakorofi utadhani ni Wavuta Bangi wakati kumbe hata hawaivuti.
[emoji23]Siyo kwa Wydad Casablanca FC tena akiwa katika Ardhi ya Kwao huku Majukwaani wakiwa Wanahanikizwa vilivyo na Mashabiki wao Wakorofi utadhani ni Wavuta Bangi wakati kumbe hata hawaivuti.
Huwezi amini Mkuu katika Maisha yangu yote hadi Ukongwe / Uzee huu nilikuwa najua Waarabu hawavuti Mpepe / Bangi.Wanavuta mkuu
Kuna Timu naitabiria mapema isipoenda na mpango mkakati na Umakini mkubwa inatafungwa Goli 7 au 9 Jumamosi.Wydad akiwa nyumbani anachafukwa sana….
Basi tambua hivyo wanavuta Tena yao inatoka Sudan maeneo ya GEZIRA ule ukanda wa mto nile ndio wazalishaji wakuu wa mpepe aka msubaaHuwezi amini Mkuu katika Maisha yangu yote hadi Ukongwe / Uzee huu nilikuwa najua Waarabu hawavuti Mpepe / Bangi.
Ni sawa na leo nimsikie Bondia Hassan Mwakinyo akitamba kuwa atamgharagaza vilivyo Bondia Antony Joshua au Bondia Tyson Fury.Afe kipa afe beki tunatoboa tu......
Naanza Kukuamini Mkuu kwani ile Juzi kuna muda Camera za Azam Tv zilikuwa zikiwaonyesha na kuna baadhi yao hata Macho yao tu yalionyesha wamevuta sana Sigara Bwege / Mpepe ( alias ) Bangi.Basi tambua hivyo wanavuta Tena yao inatoka Sudan maeneo ya GEZIRA ule ukanda wa mto nile ndio wazalishaji wakuu wa mpepe aka msubaa
Broo mpira unadunda dunda Mimi naamini dk90 Ila kufungwa tunafungwa sio kiviiiile😂😂 nadhani umenieelewaNi sawa na leo nimsikie Bondia Hassan Mwakinyo akitamba kuwa atamgharagaza vilivyo Bondia Antony Joshua au Bondia Tyson Fury.
Mtanisamehe tunaenda Kuzikoga / Kufungwa mno Jumamosi huko nchini Morocco kwa Wydad Casablanca FC.
Na nahisi huenda GENTAMYCINE Usiku wa Saa Nne ( 4 ) Jumamosi ijayo ya tarehe 29 April. 2023 Nikalia zaidi na Kuhuzunika Kunakotukuka.
Irrelevant.Kwani akiwa kwao ndio wanakuwa na miguu mitatu? Its all anout mindset, ingekua mimi ningeudanganya ubongo kwamba tupo nyumbani na hao mashabiki ni wetu.
Huwa nafanya hivi hata katika mambo mengine ya kimaisha kwa mafaniki makubwa sana