Nimetoka safari nikiwa nimenyoa mavuzi, wife kanikasirikia

Nimetoka safari nikiwa nimenyoa mavuzi, wife kanikasirikia

Iko hivi,nikiwa huko safarini niliona msitu wangu wa amazon umekua mkubwa nikaamua kuunyoa.nimerudi home wife kanuna anasema kuna mchepuko utakua umeninyoa.
Muulize ikiwa alishawahi nyolewa na mwanaume. Au mna kawaida ya kunyoana?

Kama hamna kawaida basi tambua kuna jamaa huwa anamnyoa

Hivi hakukuwa na mambo mengine ya maana kujadili kuhusu safari, mnajadili mavuz, daah kweli ni balaa
 
Iko hivi,nikiwa huko safarini niliona msitu wangu wa amazon umekua mkubwa nikaamua kuunyoa.nimerudi home wife kanuna anasema kuna mchepuko utakua umeninyoa.
Huo ni uwanja wake, unaingiliaje kukata majani kwenye uwanja wa mkeo? Ana haki kukasirika muombe msamaha hàlafu ipige kisawasawa kumhakikishia hukuwa na mchepuko.
 
Kama ulimzoesha kukushave lazima ahoji, nani kakata nyasi rena ugenini?

Mahusiano yana ujinga mwingi sana!!
 
Back
Top Bottom