Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekubuhu na mbinu zote za kimalaya wengine hata ukivaa nguo za ndani mpya anahisi unaenda kufanya matusiNdio shida ya kuoa au kuolewa na MTU mwenye ako na body counts kadhaa
Hahahah, yaani ni shida. Yaani watu wanapangiana juu ya miili isiyo yao. Khaa. Naona hawana kazi za kufanya au IQ ndogo.Daaa kwa style hii hatuwezi kupata katiba mpya
HahahaIko hivi, nikiwa huko safarini niliona msitu wangu wa amazon umekua mkubwa nikaamua kuunyoa.
Nimerudi home wife kanuna anasema kuna mchepuko utakua umeninyoa.
😅Hivi hakukuwa na mambo mengine ya maana kujadili kuhusu safari, mnajadili mavuz
umefanya kosa kufyeka pori tengefu ukiwa ugenini omba msamaha kidizainIko hivi, nikiwa huko safarini niliona msitu wangu wa amazon umekua mkubwa nikaamua kuunyoa.
Nimerudi home wife kanuna anasema kuna mchepuko utakua umeninyoa.