Nimetoka safari nikiwa nimenyoa mavuzi, wife kanikasirikia

😹😹😹 Mkeo mjinga
 
Siku nae akienda msibani akija amenyolewa uwe mtulivu pia
 
Iko hivi,nikiwa huko safarini niliona msitu wangu wa amazon umekua mkubwa nikaamua kuunyoa.nimerudi home wife kanuna anasema kuna mchepuko utakua umeninyoa.
Shemeji kakukasirikia kwa sababu umenyoa msitu, kwanini usingeuchoma moto tu ili nyoka na wadudu wengine wakukimbie uanzishe msitu mpya? Umefanya kosa kubwa sana.
 
Iko hivi, nikiwa huko safarini niliona msitu wangu wa amazon umekua mkubwa nikaamua kuunyoa.

Nimerudi home wife kanuna anasema kuna mchepuko utakua umeninyoa.
Tuna safari ndefu ya kwenda, karne hii bado watu wana mentality ya nywele huku wengine wakizungumzia teknolojia za juu kabisa

China discovers 'limitless' energy source that could 'power the country for 60,000 years'​

 
Wote wawili hawanazo kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…