TAMISEMI ni kifupi cha nini?
Nimetoka TAMISEMI dodoma saa moja lililo pita na Nimekutana na mdada mmoja pale ofisini(ni muhusika) na akanambia kuwa ajira huwa wanatoa kwa batch na kwa sasa wanahangaikia kwanza upitishwaji wa budget ya wizara yao coz mbali na hilo kuna mambo mengi pia yamesimama hadi hapo budget itakapo pitishwa hivyo ameniasa tuwe wavumilivu huenda mwezi wa saba mwishoni au wa nane mwanzoni baada ya budget kupitishwa ndio wataeza kuajiri lakini kwa sasa tuvute subira na tusisikilize uongo wa watu wanao zusha. Ni hayo tu wahanga wenzangu.
Nimetoka TAMISEMI dodoma saa moja lililo pita na Nimekutana na mdada mmoja pale ofisini(ni muhusika) na akanambia kuwa ajira huwa wanatoa kwa batch na kwa sasa wanahangaikia kwanza upitishwaji wa budget ya wizara yao coz mbali na hilo kuna mambo mengi pia yamesimama hadi hapo budget itakapo pitishwa hivyo ameniasa tuwe wavumilivu huenda mwezi wa saba mwishoni au wa nane mwanzoni baada ya budget kupitishwa ndio wataeza kuajiri lakini kwa sasa tuvute subira na tusisikilize uongo wa watu wanao zusha. Ni hayo tu wahanga wenzangu.
Nimetoka TAMISEMI dodoma saa moja lililo pita na Nimekutana na mdada mmoja pale ofisini(ni muhusika) na akanambia kuwa ajira huwa wanatoa kwa batch na kwa sasa wanahangaikia kwanza upitishwaji wa budget ya wizara yao coz mbali na hilo kuna mambo mengi pia yamesimama hadi hapo budget itakapo pitishwa hivyo ameniasa tuwe wavumilivu huenda mwezi wa saba mwishoni au wa nane mwanzoni baada ya budget kupitishwa ndio wataeza kuajiri lakini kwa sasa tuvute subira na tusisikilize uongo wa watu wanao zusha. Ni hayo tu wahanga wenzangu.
Kuna Wengine Ni Wafanyakazi Wa Tamisemi Lakin Nao Hawaelewi Ni Lini Post Zitatoka Kwahiyo Hata Siamini Hiyo Kauli, Kwa Sasa Tusubiri Siku Watakayo Amua Wao Kufanya Hivyo.
bado uliyemkuta hakukupa taarifa sahihi....ameongea kukuondoa mezani kwake
Dah!! Tunakufa huku mtaani tusha subiri sana zaidi hapa ni kukusanyana kuibuka dodoma maana serikali iliahidi ajira kwa walimu na ndio mana wakakubali kusomea hata kama mazingira magumu sasa hiki wanacho tufamyia kwakweli hawatundei haki
tatizo tupo disorganize sana kwa hili swala ndomana ata wao tamisemi wanalipeleka slow slowMkuu,hili wazo ni zuri sana mimi mwenyewe nilisha lizungumzia sikunyingi sana
Tulikutumaaa?mbona tuna ajira tayari?
tatizo tupo disorganize sana kwa hili swala ndomana ata wao tamisemi wanalipeleka slow slow
Niwashauri Kitu Japo Mi Nimepata.
Embu Anzishen Uzi Then Mpeane Number Halafu Muende Dodoma Mumtafute Waziri Wa Idara Ya Elimu,tamisemi. Nawaambia Haipiti Wiki Mpo Mzigon
Niwashauri Kitu Japo Mi Nimepata.
Embu Anzishen Uzi Then Mpeane Number Halafu Muende Dodoma Mumtafute Waziri Wa Idara Ya Elimu,tamisemi. Nawaambia Haipiti Wiki Mpo Mzigon
Washatumiwa baadhi ya wabunge wakalisemea ilo bungeni naibu waziri akatowa tamko kuwa majina yako poa wanawait pesa toka hazina mawiki sasa yamepita atujaona jipya likiendelea.