Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

Sasa kama huyo mzee atakaza unadhani nini kinaenda kutokea? Ni kutelekeza tu. Siwezi toa hata mil.2 mimi
 
Wapumbafu Sana ,pole sna
 
Na huu ndiyo mtihani sasa, nawezaje kuwa na mke ambaye sina mahusiano mazuri na familia yake, tena baba kabisa!
Na ukilikibali hilo utanyqnyasika mno! Kuna siku watakwambia mtoto wao asipike,asifue asizae, na mengine mengi au ukipata dharura ndoa itavunjwa utake usitake .
Binafsi ningekuwa mimi ,uchumba ndo ungeishia hapo!
Andaa taratibu za malezi ya mwanao tu mkuu mpe bint uhuru mapema.
Kumbuka baba mkwe hakuridhia bint yake aende mjini sasa ikitokea ishu yoyote kwa huyo bint Mzee hata kuelewa.
 
Pole, kuna mkinga mmoja alitufanyiaga kama hivi watu tumetoka dar alafu mtu analeta za kuleta.
 
Tulienda na gari tukaiacha mjini, kutoka mjini kwenda huko Kijijini tulikodi boda boda kwani njia ni mbaya mno!
Mkuu hao huwa hawana utu wala huruma my kaka alisamehe kila kitu.
Huwa na misimamo na hawabadiliki .
Bint anajielewa lakini hawezi kmbadili baba , UKISTULIWA , ..STUKA!
 
Haya yako malaini kabisa,mie nitakuja kuleta kisa changu humu nita kutag utaona yako cha mtoto kabisa.
 
Halafu wazee huwa ni mikwala,angekuwa Mama yake ndio AME act vingenevyo hapo kazi angekuwa nayo.
Mama wa Mabinti ndio huwa nuksi sana,wanaua ndio nyingi sana.
 
Ulifanya kosa la kwanza, kabla hujarekebisha hilo ulafanya la pili, kabla nalo hujarekebisha ukaenda kufanya la tatu.

Ulipaswa utume kwanza wazee wakazungumze na kuomba radhi then ndio waseme nia ya wewe kutaka kumuoa binti yao.

Mzee hakukosea, huna adabu na una dharau.
 
Well said
 
Wewe utakuwa muha. Hivi milioni nne unaijua? Hao inaonyesha wana maisha magumu kwahiyo wanataka kutumia huo mwanya kupunguzia ufukara walionao. Hilo kosa haliwezi kuwa na adhabu ya hivyo
 
Wewe utakuwa muha. Hivi milioni nne unaijua? Hao inaonyesha wana maisha magumu kwahiyo wanataka kutumia huo mwanya kupunguzia ufukara walionao. Hilo kosa haliwezi kuwa na adhabu ya hivyo
Tumia akili japo kidogo tu ile ya kuvukia barabara. Hapo shida wala sio pesa.

Anyway, ukikua utaelewa.
 
Tumia akili japo kidogo tu ile ya kuvukia barabara. Hapo shida wala sio pesa.

Anyway, ukikua utaelewa.
Wewe MUHA waambie waha wenzako wapunguze upumbavu. Mnanuka shida mnatafuta magepu kiboya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…