Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
- Thread starter
- #21
Bila kosa?? Hakuna kitu kama hichokwa ujuaji wako huu,,...tegemea kupigwa warning letter za kutosha...una ujuaji mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kosa?? Hakuna kitu kama hichokwa ujuaji wako huu,,...tegemea kupigwa warning letter za kutosha...una ujuaji mwingi
BOSS HANUNIWI.Muda unakwenda Kwa Kasi.
Huyu kiumbe sitamanigi kumuona. Siku, Muda unavyokwenda najitahidi nimuondelee chuki moyoni inashindikana. Akiwa binadamu kama wengine najiona natenda kosa. Ushetaji unatusumbua, nahitaji kushinda moyo wangu moyo,nafsi,hurka, yangu inakataa.
Kuna jambo linanifanya ishindikane..na niweke waz hili, huyu boss anaroho ya kipumbavu sana. Anadharau watu ingawa ana watu wake anaopatana nao its like 20 asilimia tu.. na Zaid ya 80 anakinzana nao. Huyu kama boss lazima niwe naye mara kwa mara nafikiria kumkwepa kuhama kabisa ama hata kuacha kazi.
Nimalizie kwa kaushauri unapokuwa boss kuwa na
1. Utu. Anza na wengine kabla hujashiba wewe.
2. Mungu wako. Mungu huweka serikali na binadamu, ukawa wewe jali huduma.acha uchawa ukifanya uchawa unakuwa unaabudu wanadamu wenzio. Utakuwa huwatendei haki hata sisi wahudumu.
3. Sikiliza, wiwa mwepesi kugundua kutoka Kwa chini yako. Potential walioyonayo itakusaidia. Baada ya hapo ongeza,rekebisha,sahihisha. Acha kutanguliza dharau,ujuaji,matusi, kebehi nk.
4. Sometimes kiongoz unaongoza viongozi bila kujua. Wangapi walikuwa chini na baada ye wewe unakuwa chini wewe? Waliowahi kuona hili la kupanda juu ilhali mfanyakaz alikuwa chini yako watalielewa jambo hili.
5. Simamia usitawale. Supervisor anasimamia, waachie uhuru wa kitaalamu wanchini yako. Lakini namba 1 kuhusu utu, na namba 3. Ni vitu vya msingi sana.
6. Tenga Muda wako kutathmin uwezo na matokeo ya kila mmoja katika nafasi yake. Hapa utagundua unaandaa viongozi. Wakati mwingine utajiona kumbe hujui. Wafanyakazi wengi kada za chini wanajua na huwaachia mabosi wajuaji wajue hawajui yakitokea ya kutokea.
7. Mwisho. Jenga Timu Moja. Yenye muelekeo mmoja, mtakimbia pamoja, utafanikiwa pamoja, kumbuka Kwa kuwa ukitangiliza utu, hutakuwa umekula jasho au maslahi ya wa chini yako .Aidha hutakuwa na deni.
8. La kuzingatia achana na mapenzi kwa sisi wafanyakazi..Kaa mbali kabisa na tamaa ya ngono
Hapa akikuchukia MTU basi mchawi atakamatwa tuu
Wachawi huona wachawi wenzao. We ndio mchawi. Na hayo hapo juu yame ku touch.Umekaa kichawichawi mkuu!
Hivi hiyo Avatar niwewe au??Kusanya mshahara wa miezi minne nenda kajiajiri
Hawaezi kujiajiri dadKusanya mshahara wa miezi minne nenda kajiajiri
Hiki kipengere kinaponza wengi na ndo chanzo kikubwa cha bifu kati ya boss na watu wake wa chini.La kuzingatia achana na mapenzi kwa sisi wafanyakazi. Kaa mbali kabisa na tamaa ya ngono
Nakumbuka nilishawah kufanya kazi kwenye Restaurant moja kubwa tu. Nilifanya kazi pale kama cashier.Muda unakwenda kwa kasi.
Huyu kiumbe sitamanigi kumuona. Siku, Muda unavyokwenda najitahidi nimuondelee chuki moyoni inashindikana. Akiwa binadamu kama wengine najiona natenda kosa. Ushetaji unatusumbua, nahitaji kushinda moyo wangu moyo,cnafsi,churka, yangu inakataa.
Kuna jambo linanifanya ishindikane..na niweke waz hili, huyu boss anaroho ya kipumbavu sana. Anadharau watu ingawa ana watu wake anaopatana nao its like 20 asilimia tu.. na Zaid ya 80 anakinzana nao. Huyu kama boss lazima niwe naye mara kwa mara nafikiria kumkwepa kuhama kabisa ama hata kuacha kazi.
Nimalizie kwa kaushauri unapokuwa boss kuwa na:
1. Utu. Anza na wengine kabla hujashiba wewe.
2. Mungu wako. Mungu huweka serikali na binadamu, ukawa wewe jali huduma.acha uchawa ukifanya uchawa unakuwa unaabudu wanadamu wenzio. Utakuwa huwatendei haki hata sisi wahudumu.
3. Sikiliza, wiwa mwepesi kugundua kutoka Kwa chini yako. Potential walioyonayo itakusaidia. Baada ya hapo ongeza,rekebisha,sahihisha. Acha kutanguliza dharau,ujuaji,matusi, kebehi nk.
4. Sometimes kiongozi unaongoza viongozi bila kujua. Wangapi walikuwa chini na baada ye wewe unakuwa chini wewe? Waliowahi kuona hili la kupanda juu ilhali mfanyakaz alikuwa chini yako watalielewa jambo hili.
5. Simamia usitawale. Supervisor anasimamia, waachie uhuru wa kitaalamu wanchini yako. Lakini namba 1 kuhusu utu, na namba 3. Ni vitu vya msingi sana.
6. Tenga Muda wako kutathmin uwezo na matokeo ya kila mmoja katika nafasi yake. Hapa utagundua unaandaa viongozi. Wakati mwingine utajiona kumbe hujui. Wafanyakazi wengi kada za chini wanajua na huwaachia mabosi wajuaji wajue hawajui yakitokea ya kutokea.
7. Mwisho. Jenga Timu Moja. Yenye muelekeo mmoja, mtakimbia pamoja, utafanikiwa pamoja, kumbuka Kwa kuwa ukitangiliza utu, hutakuwa umekula jasho au maslahi ya wa chini yako .Aidha hutakuwa na deni.
8. La kuzingatia achana na mapenzi kwa sisi wafanyakazi. Kaa mbali kabisa na tamaa ya ngono
Hapa akikuchukia MTU basi mchawi atakamatwa tu.
Muda unakwenda kwa kasi.
Huyu kiumbe sitamanigi kumuona. Siku, Muda unavyokwenda najitahidi nimuondelee chuki moyoni inashindikana. Akiwa binadamu kama wengine najiona natenda kosa. Ushetaji unatusumbua, nahitaji kushinda moyo wangu moyo,cnafsi,churka, yangu inakataa.
Kuna jambo linanifanya ishindikane..na niweke waz hili, huyu boss anaroho ya kipumbavu sana. Anadharau watu ingawa ana watu wake anaopatana nao its like 20 asilimia tu.. na Zaid ya 80 anakinzana nao. Huyu kama boss lazima niwe naye mara kwa mara nafikiria kumkwepa kuhama kabisa ama hata kuacha kazi.
Nimalizie kwa kaushauri unapokuwa boss kuwa na:
1. Utu. Anza na wengine kabla hujashiba wewe.
2. Mungu wako. Mungu huweka serikali na binadamu, ukawa wewe jali huduma.acha uchawa ukifanya uchawa unakuwa unaabudu wanadamu wenzio. Utakuwa huwatendei haki hata sisi wahudumu.
3. Sikiliza, wiwa mwepesi kugundua kutoka Kwa chini yako. Potential walioyonayo itakusaidia. Baada ya hapo ongeza,rekebisha,sahihisha. Acha kutanguliza dharau,ujuaji,matusi, kebehi nk.
4. Sometimes kiongozi unaongoza viongozi bila kujua. Wangapi walikuwa chini na baada ye wewe unakuwa chini wewe? Waliowahi kuona hili la kupanda juu ilhali mfanyakaz alikuwa chini yako watalielewa jambo hili.
5. Simamia usitawale. Supervisor anasimamia, waachie uhuru wa kitaalamu wanchini yako. Lakini namba 1 kuhusu utu, na namba 3. Ni vitu vya msingi sana.
6. Tenga Muda wako kutathmin uwezo na matokeo ya kila mmoja katika nafasi yake. Hapa utagundua unaandaa viongozi. Wakati mwingine utajiona kumbe hujui. Wafanyakazi wengi kada za chini wanajua na huwaachia mabosi wajuaji wajue hawajui yakitokea ya kutokea.
7. Mwisho. Jenga Timu Moja. Yenye muelekeo mmoja, mtakimbia pamoja, utafanikiwa pamoja, kumbuka Kwa kuwa ukitangiliza utu, hutakuwa umekula jasho au maslahi ya wa chini yako .Aidha hutakuwa na deni.
8. La kuzingatia achana na mapenzi kwa sisi wafanyakazi. Kaa mbali kabisa na tamaa ya ngono
Hapa akikuchukia MTU basi mchawi atakamatwa tu.
Bobby Asante Sana. Kazi za umma I mean public, hazinaga mwenyewe. I am holding anger to an allogant individual. I a m telling you fo r real .no body is happy with em. Watu Hawa tunaita a matter of time won't take longer will be fuccked hawez kusurvive.Mkuu una options 2 tu kwako. Kumpenda boss wako na kumkubali au kuachana na hiyo kazi ili usiwe naye karibu. Vinginevyo kuna gharama kubwa sana hasa za kiafya utazilipa huko mbeleni utake usitake. Huwezi kukichukia kitu unachoishi nacho halafu ubaki salama. I'm sure ww kama wengineo unatumia zaidi ya nusu ya muda wako wa sk kazini ukiondoa muda unaokuwa kitandani.
Ukiwa na chuki huzaa hasira (anger). Nimalizie kwa quote maarufu inayohusu anger toka kwa Budha.“Buddha quote: "Holding onto anger is like drinking poison and expecting the other person to die."
Well Said“Ofisi sio mali ya baba yangu, ninaposhindwa kuendana na kasi lazima niachie, kampuni ni kubwa zaidi yangu”
Si utoke mkuu? Achia ofisi ya watu!