Nimetokea kumpenda Miss Chagga

Nimetokea kumpenda Miss Chagga

Acha ujinga utapendaje jina kwenye mtandao ilihari unao waona huwapendi unamapungufu kichwani wewe
 
Huyu mtoto ni mkali, una mkwanja wa kulea kisu hichi
Cc: miss chagga

0a64e86e6de0beb36c62318100765e3b.jpg
 
Atakufilisi huyo mtu, achana nae.... Uko shule hujaanza kuzichanga, miss chaga atakunyonya damu,..
 
Ndo nahitaji walau hata neno moja kutoka kwake, jaman hii dunia nitaishije bila kuwa na miss chagga? Acheni hizo jamani naombeni msaada
Duuuh!! Kijana unapotea na kama miss chagga ameshaolewa je ina maana utakufa? Siwezi hudhuria hata kidogo mazishi yako kwa sababu itakuwa ni uzembe wa marehemu na ni aibu kwa vijana wenzio.
 
Kijana una gari hivi vitu tuachie wazee someni acheni ujinga
 
Back
Top Bottom