YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
- Thread starter
-
- #21
Sawaa Mkuu... lakini "samaki mkunje angali mbichi"😀😀😀 nimejikuta nacheka tuuu...........achana na vitoto vya first year bado vina maisha ya kwenye movies sana
i see pile of shit so its ''crap''This's what you see! So, what do you see?
Then leave it be...i see pile of shit so its ''crap''
Usijali mkuu,ni viroba hivyo au vipi?What is this?
Nifah mrembo mbona hivo jamani?hata likes?[emoji23] [emoji23] [emoji23] dah nasinzia ila nimecheka sana.
Aaaah Ukhty yaani unanikosha roho,yaani kama tuko faragha mamii au?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe nae si ukae kimya mkuu?umeona mavi yananuka na wewe unapanga foleni kuyanusa we vipi?i see pile of shit so its ''crap''
Na wewe nae punguza ulevi bhanaaaa we vipi?Then leave it be...
Why should you bother dealing with it [emoji23][emoji23][emoji23]dah wabongo bwanaa
jaribu kubana matumizi kwenye matumizi ya herufi i. i.e usijen ukasema magufuliiiiii ni magufuli. [HASHTAG]#tuendane[/HASHTAG] na kasi ya serikali yetu kwa kubana matumizi .....lolWadau... Nina kadent kangu ka 1st yr chuo flanii hivii, haka kabint nina muda nako naeza kukadiria ka 3 yrs.
Ofcuz kenyewe ndio kaliFall in-love kipindi hiko mimi nipo college nilikua nakadharau.
Sasa siku hizi kamekua M' SUPER ni kazuriii kinyama.
Wakuu naeza sema kataniua kwa presha, mzee nimekuja kujikuta nna malengo nako yale ya mbalii kichiz plus na kumpenda basiii ni hatariii tupu.
Somtimes naeza kukapigia simu nikakuta kanatumika bas ntazzila hapo, nitafikiria na mimi kulipiza kisas cha kumpigia mtu mwingine mana najua kataniCall Back si nako kananipenda.
Wazee kataniuaa haka katoto nikienda nako na speed hii ambayo zaman sikua nayo...
Ushauri tafadhali...
Bangi za kuvuta umejificha sio nzuri,kizur tumia na wenzioBangi mbaya sana
[emoji115] [emoji115] [emoji2] [emoji2] umetisha mkuujaribu kubana matumizi kwenye matumizi ya herufi i. i.e usijen ukasema magufuliiiiii ni magufuli. [HASHTAG]#tuendane[/HASHTAG] na kasi ya serikali yetu kwa kubana matumizi .....lol