Nimetokea kumpenda sana hadi nashindwa kujicontrol

Bora sisi wa standard 7B,
Eti chuo na poor mentality
 
jaribu kubana matumizi kwenye matumizi ya herufi i. i.e usijen ukasema magufuliiiiii ni magufuli. [HASHTAG]#tuendane[/HASHTAG] na kasi ya serikali yetu kwa kubana matumizi .....lol
 
Hata Manyapala wa Keko na Segerea wanapenda wewe.[emoji39] [emoji6]
 
Kupenda kupindukia sio kuzur man. Jitahid sana.. uthibit hisia zako. Huyo dada akigundua.... atakuburuza mbaya.
Ila achen kuendekezana..... mtamfel chuo...
 
Hata hivyo ulihadika sana mdau ni vizuri umetokea tumekukumbuka.
 
iundwe taasisi ya siri iwe inachunguza watu kama wewe muwe mnakamatwa kimya kimya mpelekwe magereza, mbaavu zako
 
jaribu kubana matumizi kwenye matumizi ya herufi i. i.e usijen ukasema magufuliiiiii ni magufuli. [HASHTAG]#tuendane[/HASHTAG] na kasi ya serikali yetu kwa kubana matumizi .....lol
[emoji115] [emoji115] [emoji2] [emoji2] umetisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…