Nimetokea kumpenda sana single mother yaani nipo njia panda

Nimetokea kumpenda sana single mother yaani nipo njia panda

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
393
Reaction score
615
Mimi sio mtu ninaependa hovyo.

Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia.

Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa mbaaali namna nilivyo muelewa ila niko njia panda maana hawa hawaaminiki. Ni mzur sana black beauty

Ananyota ya kupendwa, yaan kuna wanawake flan sijui wanaume wanaona nini tunawagombania. Hawa wanawake wa aina hii wana u wife material flan hivi.

Utakuta sio uzuri wa kutisha bali anakakitu kamejificha kanatenegeza upendo.

Mwingine ni mke wa mtu. Huyu ameolewa na jamaa ni mzee flan sasa kwa kuwa ana ka photogenic kauziri flan ambako ukimuweka ndani unainjoi ua 🌹 lake zuri basi nae nimemzimia sana. Najamaa amemuwekea ndani sababu hii. Ana akili na analinda ndoa yake. Mimi kama mchafuzi nataka Nike nisepe.

Sasa wote hawa wamenunukiwa magari nataka niwale kwenye magari yao
 
Kijana wake up... You sinking your butt in eternity abyss
You like like eating them carcas raw, nhuu??!!
1741191296176.jpg
 
Kijana wake up... You sinking your butt in eternity abyss
You like like eating them carcas raw, nhuu??!!
View attachment 3266154
Naelewa kwenye mambo ya wake za watu. Kuna wanaoamini ushirikina wamewazindika wake zao.

Naamini kwenye nguvu za asili ukikutana naye. Kama wana machafu yao nayapata au yangu wanayapata. Kwa ufupi tunashare negative au postive energy
 
Mimi sio mtu ninaependa hovyo.

Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia.

Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa mbaaali namna nilivyo muelewa ila niko njia panda maana hawa hawaaminiki. Ni mzur sana black beauty

Ananyota ya kupendwa, yaan kuna wanawake flan sijui wanaume wanaona nini tunawagombania. Hawa wanawake wa aina hii wana u wife material flan hivi.

Utakuta sio uzuri wa kutisha bali anakakitu kamejificha kanatenegeza upendo.

Mwingine ni mke wa mtu. Huyu ameolewa na jamaa ni mzee flan sasa kwa kuwa ana ka photogenic kauziri flan ambako ukimuweka ndani unainjoi ua 🌹 lake zuri basi nae nimemzimia sana. Najamaa amemuwekea ndani sababu hii. Ana akili na analinda ndoa yake. Mimi kama mchafuzi nataka Nike nisepe.

Sasa wote hawa wamenunukiwa magari nataka niwale kwenye magari yao
Hebu angalia angalia vizuri, usije kuwa umelogwa
 
Kwa hiyo, kama vile roho takatifu inavyosema, “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali, kama siku ile ya jaribu nyikani, ambayo mababu zenu waliniweka kwenye jaribu, na kunipima, ingawa waliona matendo yangu kwa miaka 40.
 
Ngoja nikupe kisa bwana mdogo

Nilikuwa nafanya kazi part time kwenye lodge fulani hivi dodoma, siku moja usku akaja kijana mmoja hivi na na mwanadada wakiwa na mtoto wa miaka mitano, bila hiyana mimi nikawapa chumba Nikasikia jamaa ni kama anabembeleza walale demu anachomoa, mwishowe kakubali demu kaliwa

Asubuhi, demu Sasa akaniambia anaendeleza kulipia, nikamuuliza kwani umekuja kufanya mishe gani demu akaniambia, nimemleta yule mtoto baba yake amuanzishe shule
🤔Akaniambia tu ni mzazi mwenza Ila jamaa kashaoa na Jana usku, walitomb*na

Toka pale sijawahi amini mwanamke,single mother kwa lile tukio

Sasa wewe shupaza shingo kama SAmsoni utakubali/learn in hard way
Natafuta Ajira
 
Back
Top Bottom