Kisesetusese
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 393
- 615
Mimi sio mtu ninaependa hovyo.
Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia.
Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa mbaaali namna nilivyo muelewa ila niko njia panda maana hawa hawaaminiki. Ni mzur sana black beauty
Ananyota ya kupendwa, yaan kuna wanawake flan sijui wanaume wanaona nini tunawagombania. Hawa wanawake wa aina hii wana u wife material flan hivi.
Utakuta sio uzuri wa kutisha bali anakakitu kamejificha kanatenegeza upendo.
Mwingine ni mke wa mtu. Huyu ameolewa na jamaa ni mzee flan sasa kwa kuwa ana ka photogenic kauziri flan ambako ukimuweka ndani unainjoi ua 🌹 lake zuri basi nae nimemzimia sana. Najamaa amemuwekea ndani sababu hii. Ana akili na analinda ndoa yake. Mimi kama mchafuzi nataka Nike nisepe.
Sasa wote hawa wamenunukiwa magari nataka niwale kwenye magari yao
Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia.
Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa mbaaali namna nilivyo muelewa ila niko njia panda maana hawa hawaaminiki. Ni mzur sana black beauty
Ananyota ya kupendwa, yaan kuna wanawake flan sijui wanaume wanaona nini tunawagombania. Hawa wanawake wa aina hii wana u wife material flan hivi.
Utakuta sio uzuri wa kutisha bali anakakitu kamejificha kanatenegeza upendo.
Mwingine ni mke wa mtu. Huyu ameolewa na jamaa ni mzee flan sasa kwa kuwa ana ka photogenic kauziri flan ambako ukimuweka ndani unainjoi ua 🌹 lake zuri basi nae nimemzimia sana. Najamaa amemuwekea ndani sababu hii. Ana akili na analinda ndoa yake. Mimi kama mchafuzi nataka Nike nisepe.
Sasa wote hawa wamenunukiwa magari nataka niwale kwenye magari yao