Nimetokea kumpenda sana single mother yaani nipo njia panda

Nimetokea kumpenda sana single mother yaani nipo njia panda

Mimi sio mtu ninaependa hovyo.

Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia.

Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa mbaaali namna nilivyo muelewa ila niko njia panda maana hawa hawaaminiki. Ni mzur sana black beauty

Ananyota ya kupendwa, yaan kuna wanawake flan sijui wanaume wanaona nini tunawagombania. Hawa wanawake wa aina hii wana u wife material flan hivi.

Utakuta sio uzuri wa kutisha bali anakakitu kamejificha kanatenegeza upendo.

Mwingine ni mke wa mtu. Huyu ameolewa na jamaa ni mzee flan sasa kwa kuwa ana ka photogenic kauziri flan ambako ukimuweka ndani unainjoi ua 🌹 lake zuri basi nae nimemzimia sana. Najamaa amemuwekea ndani sababu hii. Ana akili na analinda ndoa yake. Mimi kama mchafuzi nataka Nike nisepe.

Sasa wote hawa wamenunukiwa magari nataka niwale kwenye magari yao
Ila ukumbuke ana mwenzie au mbia katika kuzaa huyo aliyemfanya awe single. Je unajua kilichomfanya awe single mother? Kabla ya kuuliza, kawahusishe wazazi wako wakupe darasa la bure mwanangu.
 
Mimi sio mtu ninaependa hovyo.

Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia.

Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa mbaaali namna nilivyo muelewa ila niko njia panda maana hawa hawaaminiki. Ni mzur sana black beauty

Ananyota ya kupendwa, yaan kuna wanawake flan sijui wanaume wanaona nini tunawagombania. Hawa wanawake wa aina hii wana u wife material flan hivi.

Utakuta sio uzuri wa kutisha bali anakakitu kamejificha kanatenegeza upendo.

Mwingine ni mke wa mtu. Huyu ameolewa na jamaa ni mzee flan sasa kwa kuwa ana ka photogenic kauziri flan ambako ukimuweka ndani unainjoi ua 🌹 lake zuri basi nae nimemzimia sana. Najamaa amemuwekea ndani sababu hii. Ana akili na analinda ndoa yake. Mimi kama mchafuzi nataka Nike nisepe.

Sasa wote hawa wamenunukiwa magari nataka niwale kwenye magari yao
Dogo ulichokosa ni akili, single mom nà mke wa mtu ndo wewe unajisifu siyo mtu wa kupenda ovyo?
Huoni hapo ndio kupenda ovyo?
 
Mimi sio mtu ninaependa hovyo.

Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia.

Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa mbaaali namna nilivyo muelewa ila niko njia panda maana hawa hawaaminiki. Ni mzur sana black beauty

Ananyota ya kupendwa, yaan kuna wanawake flan sijui wanaume wanaona nini tunawagombania. Hawa wanawake wa aina hii wana u wife material flan hivi.

Utakuta sio uzuri wa kutisha bali anakakitu kamejificha kanatenegeza upendo.

Mwingine ni mke wa mtu. Huyu ameolewa na jamaa ni mzee flan sasa kwa kuwa ana ka photogenic kauziri flan ambako ukimuweka ndani unainjoi ua 🌹 lake zuri basi nae nimemzimia sana. Najamaa amemuwekea ndani sababu hii. Ana akili na analinda ndoa yake. Mimi kama mchafuzi nataka Nike nisepe.

Sasa wote hawa wamenunukiwa magari nataka niwale kwenye magari yao
Hiyo ndio akili aliyokupa Mungu?
 
Nenda njia yenye Giza ukutane mbele na mwanga kuliko kwenda ya mwanga ukutane na Giza .
POV;mbona ma single mama wa umu mnatukataa jaman💔💔
Single mama mbususu zenu tamu ila tatizo mkiolewa mnagawa mbususus kwa bby daddy tena akojoleee ndaniii kabisa
 
Hivi wanaume wenzangu kwanini hamtaki kuelewa somo kuhusu single mothers?

Wewe unadhani kwanini mwanaume mwenzako amemzalisha kisha akamkimbia licha ya uzuri wake wa sura ama shepu?

Ukiona mwanamke amezalishwa na kutelekezwa usikurupuke kujiweka hapo utakuja kulia vibaya sana.

Vinginevyo labda huyo single maza awe mjane lakini sio aliyeachana na bwana ake aliyemzalisha. Ipo siku watarudiana tu hata ipite miaka sasa hapo ndipo utakapoona kila rangi na kama ndiyo umeshapenda kibwege utaumia maisha yako yote.
 
Back
Top Bottom