Nimetokea kumpenda shemeji, nashindwa kujizuia

Nimetokea kumpenda shemeji, nashindwa kujizuia

Unawaza "jamii" na "ndugu" watakuonaje? Unawaogopa sana hao kuliko MUNGU?

Hivi ulishawahi kuwaza ikiwa ukilala na shemeji yako MUNGU atakuonaje? Au wewe huna "hofu" ya MUNGU bali una hofu na wanadamu wenzako?

Ndugu, ikimbie zinaa.
Huyo mungu unamjua wewe wengine wapagani[emoji23][emoji23]
 
Hata mimi kijana wa 92 sijawahi kufikiria huo ujinga dah mkuu wewe ni TAIRA kama anthony taylor yule refa mpuuzi aliemlima james umeme.
Kwa nje kondoo kwa ndani simbaa nishamla vp una la kuongezea mkuu
 
Acha tamaa za kipumbavu. Je kama mdogo wako atampenda mke wako utajisikiaje? Kama unatoka kwenye makabila ambayo yana tabia za kipanya panya na kurukiana bila mipaka, utasikia ushauri wa kipumbavu kuwa we kata tu wakati matokeo yake utawaumiza mkeo na watoto na wewe mwenyewe. Tamaa mbele mauti nyuma.
Utamaduni wa wew sio wa mimi
 
Hivi unaanzaje mwambia mkeo kua unamzimia mdogo wake..mzee utachapiwa hadi akili inyoke we vimba tu na hizo mali za wazazi kama medi dewji

Nilipofika hapa, nikamuomba mama muuza aniongezee vitumbua, chai ipo JF
 
We jitoe akili tu, nawe wakupige moto ndani ya nyumba akili ikukae sawa, unaleta akili za nyege shauri yako
 
Mjomba hajambo? Mimba tayari? Mjomba anataka kuwa Baba tena. [emoji12][emoji12]
Halafu weweeeeeeee
[emoji85][emoji1787][emoji117]
Tuko zaidi ya serious
Mungu anipatie kamoja ntaringa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom