ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
- Thread starter
-
- #181
Huyo mungu unamjua wewe wengine wapagani[emoji23][emoji23]Unawaza "jamii" na "ndugu" watakuonaje? Unawaogopa sana hao kuliko MUNGU?
Hivi ulishawahi kuwaza ikiwa ukilala na shemeji yako MUNGU atakuonaje? Au wewe huna "hofu" ya MUNGU bali una hofu na wanadamu wenzako?
Ndugu, ikimbie zinaa.
Mbona nimemla mkuu hakuna shd imetokeaTafuta demu mwingine achana na shemeji
Kwani ni tamaa ?Acha tamaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tayar mkuumshezi kweli kumbe jibu unalo
Kwa nje kondoo kwa ndani simbaa nishamla vp una la kuongezea mkuuHata mimi kijana wa 92 sijawahi kufikiria huo ujinga dah mkuu wewe ni TAIRA kama anthony taylor yule refa mpuuzi aliemlima james umeme.
Utamaduni wa wew sio wa mimiAcha tamaa za kipumbavu. Je kama mdogo wako atampenda mke wako utajisikiaje? Kama unatoka kwenye makabila ambayo yana tabia za kipanya panya na kurukiana bila mipaka, utasikia ushauri wa kipumbavu kuwa we kata tu wakati matokeo yake utawaumiza mkeo na watoto na wewe mwenyewe. Tamaa mbele mauti nyuma.
Hivi unaanzaje mwambia mkeo kua unamzimia mdogo wake..mzee utachapiwa hadi akili inyoke we vimba tu na hizo mali za wazazi kama medi dewji
Mchakato ulikuwaje hsdi kufikia "kumla" na mkeo anasemajeKwa nje kondoo kwa ndani simbaa nishamla vp una la kuongezea mkuu
Umemlaje mlaje ..tueleze mkuuMbona nimemla mkuu hakuna shd imetokea
Basi mchukue ili yatakapokukuta unikumbuke usinione.Utamaduni wa wew sio wa mimi
HONGERA MKUU HATA MAMA MKWE WAKO AKIJA NAE MLE TU MKUU, HESHIMA YAKO MKUU.Kwa nje kondoo kwa ndani simbaa nishamla vp una la kuongezea mkuu
Umemlaje mlaje ..tueleze mkuu
Ongeza bidiu mkuuMbona nimemla mkuu hakuna shd imetokea
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
Halafu weweeeeeeeeMjomba hajambo? Mimba tayari? Mjomba anataka kuwa Baba tena. [emoji12][emoji12]
Halafu weweeeeeeee
[emoji85][emoji1787][emoji117]
Tuko zaidi ya serious
Mungu anipatie kamoja ntaringa
HahhahhahahaaahhWashirikishe na wazazi wa pande zote mbili.
HakagawikiiiMjomba na mimi kidogo [emoji12][emoji12][emoji12]