[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda kama hufanyi kazi mahali ila ni moja ya experience mbaya kabisa kazini otherwise kama ni mchawi utaona ni jambo la kawaida..!!Sasa wakikuignore wewe unapungukiwa Nini?
Akili hii unafanya kazi ofisi nyeti?....Ndugu wana nzengo.
Mimi ni Mtumishi wa Umma nafaya kwenye taasisi nyeti nchini jijini DSM.
Wajihi wangu.
Mimi si muongeaji, sipendi pia watu wanaoongea sana. Najikuta nakaa kimya tu. Naweza nisi comment chochote, hata ikiwa najua eneo la hoja inayoingelewa.
Kwenye kitengo chetu tumetenganishwa na short walls. Inatokea chatting za hapa na pale. Watu wanne katika watano tunaofanyia eneo moja KE wapo 3, na ME tupowawili.
Ke mmoja ni age mate, nahisi ananichukia sana japo anajionqga mtu MuNgu sana. KE wale wawili ni wadogo around 30s hivi. Sisi wengine wanaume wawili huyu hatter wangu tupo 40s. Sometimes hanipi ushirikiano baadhi ya mambo na ndipo ninapoona ana ni ignore.
Naomba msaada wa kuondokana na hili jambo niwe free
Sasa mbona unalialia? Achana na hizo takataka! Kwani tangu amekuignore umepunguziwa mshahara?Hahaha no men ninejitosheleza mkuu
Kawaida sana bro,kama kazi zangu zinaenda sijali hata kidogo....kwanza unajiepusha na nye nye nye...unawasalimia unafanya kazi zako, unachungulia online,unaenda lunch,unamaliza kazi zako....mnaagana...Unless uwe Mtu unaempenda maongezi mengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda kama hufanyi kazi mahali ila ni moja ya experience mbaya kabisa kazini otherwise kama ni mchawi utaona ni jambo la kawaida..!!
Kama unafanya kazi ofisi kwako ndo Nyumbani kwako huko unakaa masaa 10+ ukirudi mtaani masaa 4 tu umelala kukichaa tena kazini.
KwaniAnakuadmire sana mkuu ila inaoneka wewe uko bize na mambo yako umeshindwa kurecognize kwamba anakukubali. Hiyo imemfanya awe afeel kama hatoshi kwako na defensive mechanism yake ni kujifanya anakuignore, amini nakwambia huyo mwanamke anakupenda sana
Wanawake akili zao wanazijua wenyewe
Hi!It sounds kama wewe ndio unataka attention yao!!?
Hapa ndo penye hoja,wanawake wanapenda attention ,apafanyie kazi.....
Lakini vile vile jaribu kuchunguza usikute kuna sababu...
Labda anahisi wewe unamdharau...
Watu wakimya huwa rahisi sana kujiunga na jumuiya za walozi.Ndugu wana nzengo.
Mimi ni Mtumishi wa Umma nafaya kwenye taasisi nyeti nchini jijini DSM.
Wajihi wangu.
Mimi si muongeaji, sipendi pia watu wanaoongea sana. Najikuta nakaa kimya tu. Naweza nisi comment chochote, hata ikiwa najua eneo la hoja inayoingelewa.
Kwenye kitengo chetu tumetenganishwa na short walls. Inatokea chatting za hapa na pale. Watu wanne katika watano tunaofanyia eneo moja KE wapo 3, na ME tupowawili.
Ke mmoja ni age mate, nahisi ananichukia sana japo anajionqga mtu MuNgu sana. KE wale wawili ni wadogo around 30s hivi. Sisi wengine wanaume wawili huyu hatter wangu tupo 40s. Sometimes hanipi ushirikiano baadhi ya mambo na ndipo ninapoona ana ni ignore.
Naomba msaada wa kuondokana na hili jambo niwe free
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda kama hufanyi kazi mahali ila ni moja ya experience mbaya kabisa kazini otherwise kama ni mchawi utaona ni jambo la kawaida..!!
Kama unafanya kazi ofisi kwako ndo Nyumbani kwako huko unakaa masaa 10+ ukirudi mtaani masaa 4 tu umelala kukichaa tena kazini.
Kwa hiyo katika wafanyakazi Watano unaofanya nao kazii wote wanakupotezea wew mmoja unaona Upo sawa kabisa???? Acheni hizo attitude za ovyooo mnaishi na watu kama wachawiii...Kwani ni lazma uelewane na kila workmate?.
Hivi unajua hakuna sehemu yenye masnitch, wanafki na mahusiano ya vikundi kama makazini
Kama hujawahi kuacha kazi sehemu na ukapitia msoto flani, huwezi kujua uhalisia wa workmates
Kiufupi asilimia 99 ya workmates sio rafiki zako na hawakujali kwa lolote kwa hiyo usijipe umuhimu kwenye maisha yao. Fanya nao kazi fresh, kuwa na mahusiano nao ya kawaida. Ila usiende extra mile kuwapa umuhimu mkubwa maana ipo siku utafurahishwa
Sio kesi hata hivyo. Kwan mtu akikupotezea na wewe si unampotezea tu, shida iko wapi? Tatizo jamaa can't take it, issue ya kupotezewa inam hurt.Katika sehemu zote za kazi nilizopita huwa nakutana na hizo kesi na Chanzo kikubwa ni Mmoja hawezi kujishushaaa..mwingine hataki kukubali kakosea anapoambiwa anaweka Chukii...!! Lakini ukiona wew mmoja peke yako ndo unapotezewa bhasi Asilimi 98 wew ndo mwenye shida mahali.