Nimetokea kuwapenda wanawake wanao vaa nguo za kiume(tomboy)

Nimetokea kuwapenda wanawake wanao vaa nguo za kiume(tomboy)

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Habari zenu wakuu

Nimejikuta tu ghafla nimetokea kuwapenda wanawake wanaovaa nguo za kiume tomboys au nikimuona mwanamke kavaa nguo za kiume navutiwa nae..unamkuta pisi Kali imevaa jezi kwa juu chini ana jinsi au kibukta flan hiv kanyoa afro au low cut wanavutia sana.

Nimekuwa shabiki wa timu za wanawake Simba queen au Yanga princess kila mechi zao naenda kuziangalia Kuna pisi zinanivutia nikizionaga tu.

Matomboy ni wanawake wazuri na wanajua kujari wako real sana

Sina muda hata wa kuwaangalia mara mbili Hawa mademu wa town akisuka Rasta, kavaa kimini au awe na shepu vipi ata akijiremba vipi sinaga time nao.

Nb: Nawakubali life style yao tu Ila sio kuwa nao kimahusiano

Hisia za mtu ziheshimiwe😊
 
Habari zenu wakuu

Nimejikuta tu ghafla nimetokea kuwapenda wanawake wanaovaa nguo za kiume tomboys au nikimuona mwanamke kavaa nguo za kiume navutiwa nae..unamkuta pisi Kali imevaa jezi kwa juu chini ana jinsi au kibukta flan hiv kanyoa afro au low cut wanavutia sana.

Nimekuwa shabiki wa timu za wanawake Simba queen au Yanga princess kila mechi zao naenda kuziangalia Kuna pisi zinanivutia nikizionaga tu.

Matomboy ni wanawake wazuri na wanajua kujari wako real sana

Sina muda hata wa kuwaangalia mara mbili Hawa mademu wa town akisuka Rasta, kavaa kimini au awe na shepu vipi ata akijiremba vipi sinaga time nao.

Hisia za mtu ziheshimiwe😊
Mzee utakuja kutamani hata kuwa pegged kuwa makini.
 
Habari zenu wakuu

Nimejikuta tu ghafla nimetokea kuwapenda wanawake wanaovaa nguo za kiume tomboys au nikimuona mwanamke kavaa nguo za kiume navutiwa nae..unamkuta pisi Kali imevaa jezi kwa juu chini ana jinsi au kibukta flan hiv kanyoa afro au low cut wanavutia sana.

Nimekuwa shabiki wa timu za wanawake Simba queen au Yanga princess kila mechi zao naenda kuziangalia Kuna pisi zinanivutia nikizionaga tu.

Matomboy ni wanawake wazuri na wanajua kujari wako real sana

Sina muda hata wa kuwaangalia mara mbili Hawa mademu wa town akisuka Rasta, kavaa kimini au awe na shepu vipi ata akijiremba vipi sinaga time nao.

Nb: Nawakubali life style yao tu Ila sio kuwa nao kimahusiano

Hisia za mtu ziheshimiwe[emoji4]
Tomboy pita huku
 
Back
Top Bottom